mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
[h=5]Jamaa flani kaingia salon,wakati ananyolewa akaingia mwanadada mmoja mrembo. Jamaa akaamua kujaribu bahati
yake.
Jamaa:"Mambo?"
Dem:"Poa"
Jamaa:"Mi na wewe tunaweza
ongea baadae?"
Dem:"Kwanini?"
Jamaa:"Nimekupenda nataka
nikupeleke date."
Dem:"Sawa,ila nitamwambia nini
mume wangu?"
Jamaa:"Aaah...hilo si tatizo
mdanganye tu! Mwambie
umeenda kutembelea rafiki yako
hospitalini."
Dem:"Mwambie mwenyewe...huyo
hapo ana kunyoa!!"
hebu tafakari nini kilitokea? au ungekuwa wewe ndio huyo jamaa ungefanyaje?[/h]
yake.
Jamaa:"Mambo?"
Dem:"Poa"
Jamaa:"Mi na wewe tunaweza
ongea baadae?"
Dem:"Kwanini?"
Jamaa:"Nimekupenda nataka
nikupeleke date."
Dem:"Sawa,ila nitamwambia nini
mume wangu?"
Jamaa:"Aaah...hilo si tatizo
mdanganye tu! Mwambie
umeenda kutembelea rafiki yako
hospitalini."
Dem:"Mwambie mwenyewe...huyo
hapo ana kunyoa!!"
hebu tafakari nini kilitokea? au ungekuwa wewe ndio huyo jamaa ungefanyaje?[/h]