johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,545
Mbunge wa Masasi aliyewahi kuwa Waziri wa Biashara na Uwekezaji mh Mwambe amesema mifumo ya sasa ya TRA siyo rafiki, imejaa Uonezi na ni Sumbufu.
Mwambe amesema hii inatokana na kila mmoja pale TRA kujiona anajua kila Kitu hali inayopelekea usumbufu mkubwa kwa Walipa kodi na hata miongoni mwa Wafanyakazi wenyewe.
Mwambe amependekeza TRA igawanywe na iwe na Idara zinazojitegemea kama ilivyokuwa awali kabla ya Sanare.
Idara hizo ni Income Tax, VAT Dept na Customs.
Mh Mwambe alikuwa anajadili Ripoti ya CAG.
Chanzo: TBC
Mwambe amesema hii inatokana na kila mmoja pale TRA kujiona anajua kila Kitu hali inayopelekea usumbufu mkubwa kwa Walipa kodi na hata miongoni mwa Wafanyakazi wenyewe.
Mwambe amependekeza TRA igawanywe na iwe na Idara zinazojitegemea kama ilivyokuwa awali kabla ya Sanare.
Idara hizo ni Income Tax, VAT Dept na Customs.
Mh Mwambe alikuwa anajadili Ripoti ya CAG.
Chanzo: TBC