Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Swali:
Je, unadhani Ndege yetu ilitakiwa....
a) Kuruka toka Madafu Nation kwenda Fish Island kubeba Shehena inayosubiri Kwanza Majibu ya Maabara?
b) Kuruka kupeleka Wataalam wetu WHO wakaungane na wengine katika Kutafuta Chanjo Kamili?
c) Kuruka kwenda Kuwachukuwa Wenzetu waliokwama China, India na hata nchi za Uarabuni?
d) Kuruka kwenda Uswisi pamoja na Waziri wa Fedha ili akombe Msaada kupambana na Janga?
Hebu tusaidiane Kumjibu Mwalimu tafadhali kwani najua hapa ni kwa Great Thinkers nyie hivyo hamtolishindwa.
Je, unadhani Ndege yetu ilitakiwa....
a) Kuruka toka Madafu Nation kwenda Fish Island kubeba Shehena inayosubiri Kwanza Majibu ya Maabara?
b) Kuruka kupeleka Wataalam wetu WHO wakaungane na wengine katika Kutafuta Chanjo Kamili?
c) Kuruka kwenda Kuwachukuwa Wenzetu waliokwama China, India na hata nchi za Uarabuni?
d) Kuruka kwenda Uswisi pamoja na Waziri wa Fedha ili akombe Msaada kupambana na Janga?
Hebu tusaidiane Kumjibu Mwalimu tafadhali kwani najua hapa ni kwa Great Thinkers nyie hivyo hamtolishindwa.