Ni sawa anafundisha watoto kujiamini. Watoto wa umri huo huna cha maana cha kuwafundisha zaidi ya kuwa na uthubutu , kujiamini na kujaribu bila kuangalia spectators wanasemaje ...Mimi ningekua na mtoto hapo nisingeona shida mana hakuna kibaya alichofanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.