prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,077
- 3,094
Habari ndugu zangu
Kwa yeyote mwenye anayo nafasi au anajua nafasi ya kazi ya ualimu wa physics na computer science kwa o-level au Advance mwalimu napatikana.
Mimi ni mhitimu wa shahada ya uwalimu kwa masomo ya PHYSICS na COMPUTER SCIENCE na Kwasasa nipo dar es salaam.
na nipo tayari kufanya kazi popote hapa nchini. Hata kuanza kwa kujitolea Asanteni
Kwa yeyote mwenye anayo nafasi au anajua nafasi ya kazi ya ualimu wa physics na computer science kwa o-level au Advance mwalimu napatikana.
Mimi ni mhitimu wa shahada ya uwalimu kwa masomo ya PHYSICS na COMPUTER SCIENCE na Kwasasa nipo dar es salaam.
na nipo tayari kufanya kazi popote hapa nchini. Hata kuanza kwa kujitolea Asanteni