Mwalimu wa Part time anahitajika, malipo mazuri, kufundisha somo la GS kidato cha tano na sita.
SIFA: Awe mhitimu wa shahada ya ualimu na kuendelea.
Masomo ya kufundishia lazima iwe ni POLITICAL SCIENCE na jingine lolote
Awe mkazi wa Mwanza City na viunga vyake.
Awe mwadilifu mwenye kuishi katika haiba ya ualimu.
Ambaye yuko tayari njoo PM
SIFA: Awe mhitimu wa shahada ya ualimu na kuendelea.
Masomo ya kufundishia lazima iwe ni POLITICAL SCIENCE na jingine lolote
Awe mkazi wa Mwanza City na viunga vyake.
Awe mwadilifu mwenye kuishi katika haiba ya ualimu.
Ambaye yuko tayari njoo PM