Mwalimu wa madrasa ahukumiwa miaka 80 jela kwa kumbaka binti wa miaka 15

Kaonewa sababu ya tamaduni za kuletewa na wazungu, miaka 15 kiafrika ni msichana aliefikia umri wa kupatiwa mume amuhifadhi, pia miaka 80 ni mingi sana tunataka kujua sharia law inasemaje kuhusu scenario kama hiyo? sharia law tunaitumia kwenye mirathi sasa kwa nn isitumike pia kwenye kesi kama hii?
Kwa sharia kwa hukumu ingekuwa kupigwa mawe hadhari mpaka afe
 
Miaka 15 anahesabika kama mtoto, hoja ya makubaliano hapo haipo kisheria, huo ni ubakaji tu.
 
Tunavyokurupuana na mishangingi siyo kwamba hatuwaoni hawa under 18 tena wanajiona wako vyema kiasi hawashindwi kukuambia wanakuelewa.

21 yrs na hicho kifungo ndiyo kusema nchi inapoteza productive member just like that kwa msichana wa miaka 15, kwa maisha yetu ya kuanza la kwanza na miaka 7 huyu yupo kidato cha pili.

Kidato cha pili kwa mitaa yetu ni binti anayejua mema na mabaya, hata sheria mwanzo iliruhusu aolewe.

Sababu inayofanya mtu wa miaka 15 aonekane mtoto nafikiri inatokana na nchi mfumo wake wa elimu unakuweka darasani mpaka ukiwa na miaka 23 hivi, utoke hapo ujiunge ajira portal utafute connection so tunapoteza muda mwingi tukiwa darasani na tukiwa tunatafuta maisha hii inafanya serikali ilazimike kulinda huyu msichana.

Meanwhile nchi za wenzetu 20 years pengine tayari mtu alishamaliza shule na ameshakua kazini. So kwao mtu wa 16 kupeleka bwana nyumbani siyo tatizo. At 18 anawaambia wazazi msinifuatilie mwili ni wangu.
 
Fununu vipi ikiwa kanisa katoliki lilishamtenga tayari
Baada ya hapo jamii ikachukua hatua gani? Maana kanisa limeishatoa hukum yake tayari imebakia hukumu ya kiserikal ambayo inategemea jamii kuripoti ili mhusika afikishwe mbele ya sheria maana naamin ata huyu mwalimu wa madrasa sio msikiti uliomfungulia hayo mashtaka mahakaman
 
Kweli kabisaaah mkuu! Imetupasa pia wanaume kujizuia,

Imagine;
Umri wa mhukumiwa (21yrs) + hukumu (80 yrs) =101yrs

Future ya maisha yake ishaharibika kabisa!
Amehukumiwa miaka 30 kila kosa miaka 10 watoa habari siku hizi wanaharaka sana
 
Baada ya hapo jamii ikachukua hatua gani? Maana kanisa limeishatoa hukum yake tayari imebakia hukumu ya kiserikal ambayo inategemea jamii kuripoti ili mhusika afikishwe mbele ya sheria maana naamin ata huyu mwalimu wa madrasa sio msikiti uliomfungulia hayo mashtaka mahakaman
Hakuna mahakama ya kumfunga padri tz full stop
 
Kaonewa sababu ya tamaduni za kuletewa na wazungu, miaka 15 kiafrika ni msichana aliefikia umri wa kupatiwa mume amuhifadhi, pia miaka 80 ni mingi sana tunataka kujua sharia law inasemaje kuhusu scenario kama hiyo? sharia law tunaitumia kwenye mirathi sasa kwa nn isitumike pia kwenye kesi kama hii?
Sharia Law kaitumieni misikitini kwenu
 
Kaonewa sababu ya tamaduni za kuletewa na wazungu, miaka 15 kiafrika ni msichana aliefikia umri wa kupatiwa mume amuhifadhi, pia miaka 80 ni mingi sana tunataka kujua sharia law inasemaje kuhusu scenario kama hiyo? sharia law tunaitumia kwenye mirathi sasa kwa nn isitumike pia kwenye kesi kama hii?
kwani tuko Afghanistan apa tunatawaliwa na Taliban au? kama unapenda Sharia dandia C17 apo Uganda ikakushushe Kabul
 
Amemrithi Role Model wake ambaye ni Mtume Muhammad (S.A.W)

Bisha..!
 
Kaonewa sababu ya tamaduni za kuletewa na wazungu, miaka 15 kiafrika ni msichana aliefikia umri wa kupatiwa mume amuhifadhi, pia miaka 80 ni mingi sana tunataka kujua sharia law inasemaje kuhusu scenario kama hiyo? sharia law tunaitumia kwenye mirathi sasa kwa nn isitumike pia kwenye kesi kama hii?
Hiyo sharia law kwanye swala la ubakaji inasemaje?
Tuanzie hapa kwanza
 
Sheria ziangaliwe upya kuna kubaka yaani kumwingilia kwa nguvu na ila pia kuangalia umri pia, kwa mazingira ya sasa binti wa miaka 15 ni mkubwa kabisa ila kama kashambuliwa na kuingiliwa kwa nguvu hiyo hata kama ana miaka 40 hukumu lazima iwe kali
 
Back
Top Bottom