Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ninyi ni wezi wakubwa mnataka kuneemeka kupitia watu wengine acheni kudanganya watu eti mnafanya bure me nawajua vizur na sishauri mwalimu yeyote awatumie ninyiusiendeleee kuumiza kichwa kuhusu kuwapata walimu bora waliokuwa tayari kufanay kazi nje na ndani ya tanzania kwa makubaliano ya viwango vya msharaha ambao pia hawata kusumbua.
Sasa mkomozi wako ni teachers' junction.
Hawa ni mawakala wa ajira za walimu tanzania usiogop kudeal na agncy kwani hukuwekea biashara yako kwenye soko la ushindani bila gharama.
Wasiliana nasi.
0753810857
teachersjunction@yahoo.com
dar s salaam tanzania
Shiggatin naijua sana shule ya masela sana ile labda nikafundishe kishumundu au uru sec
wadau kuna nafasi ya mwalimu wa kiswahili na history katika shule ya sekondari SHIGHATINI iliyopo maeneo ya MWANGA-KILIMANJARO.
sifa za mwombaji
kwa maelezo zaidi wasiliana na mkuu wa shule kwa namba 0689854660.
- stashahada au shahada ya elimu
Asubuhi njema wadau!
jamani mmepewa namba ya mkuu wa shule fanyeni mawasiliano naye,sasa nashangaa baadhi wa2 mnaanza kutoa namba zenu mpigiwe.