Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,962
- 22,333
Wadau,
Ofisin kwetu tunahitaji mwalimu wa kike wa shule za msingi au hata sekondari lakini alie tayar kufundisha darasa la tatu na la nne anahitajika. Asizidi miaka 25
Awe na uwezo mzuri wa kufundisha somo la hesabati madarasa hayo na pia awe na uwezo mzuri wa lugha ya kingereza (kuongea na kuandika). Shule ipo Zanzibar karibu na beach, tutampatia makazi kwa kipindi chote cha probation, mazingira ya kazi ni mazuri mno. Shule ina WiFi connection maeneo yote, mpaka kwenye makazi yake, darasa la nne lina watoto 14 tu na darasa la tatu lina watoto 20 tu.
Salary ni competitive. Aliye tayari ani PM haraka sana au kama unamjua ndugu na jamaa ambae hayupo JF mwambie atume CV na application yake kupitia supermoh8880@gmail.com
Ofisin kwetu tunahitaji mwalimu wa kike wa shule za msingi au hata sekondari lakini alie tayar kufundisha darasa la tatu na la nne anahitajika. Asizidi miaka 25
Awe na uwezo mzuri wa kufundisha somo la hesabati madarasa hayo na pia awe na uwezo mzuri wa lugha ya kingereza (kuongea na kuandika). Shule ipo Zanzibar karibu na beach, tutampatia makazi kwa kipindi chote cha probation, mazingira ya kazi ni mazuri mno. Shule ina WiFi connection maeneo yote, mpaka kwenye makazi yake, darasa la nne lina watoto 14 tu na darasa la tatu lina watoto 20 tu.
Salary ni competitive. Aliye tayari ani PM haraka sana au kama unamjua ndugu na jamaa ambae hayupo JF mwambie atume CV na application yake kupitia supermoh8880@gmail.com