Dee_Aristotle
Member
- May 29, 2021
- 54
- 30
Habari zenu wanajamii.
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 mkazi wa dar es salaam na fani yangu ni ufundishaji wa lugha ya kiingereza(English as a second language) ama ESL kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam pia ni mwalimu mzuri wa "English literature" kwa level zote za elimu ya sekondari pia nina ujuzi na computer software nikisomea chuo kikuu cha Dar es salaam(UDSM-UCC) nikibobea kwenye internet essentials,e-mailing,ms word,power point na ms excel.
Nipo hapa nikiomba nafasi yoyote kazi katika shule yoyote ile ya sekondari nipo tayari kufanya kazi wakati wowote. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu🙏🙏🙏
Mawasiliano: 0783949279
Mahali: Dar es salaam
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 mkazi wa dar es salaam na fani yangu ni ufundishaji wa lugha ya kiingereza(English as a second language) ama ESL kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam pia ni mwalimu mzuri wa "English literature" kwa level zote za elimu ya sekondari pia nina ujuzi na computer software nikisomea chuo kikuu cha Dar es salaam(UDSM-UCC) nikibobea kwenye internet essentials,e-mailing,ms word,power point na ms excel.
Nipo hapa nikiomba nafasi yoyote kazi katika shule yoyote ile ya sekondari nipo tayari kufanya kazi wakati wowote. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu🙏🙏🙏
Mawasiliano: 0783949279
Mahali: Dar es salaam