#COVID19 Mwalimu sichomwi chanjo ng'o na wakibadilisha utaratibu kuwa lazima basi nitakuwa tayari kuacha hata kazi

mambo yanayoandikwa kwenye Uzi huu ni ushahidi tosha uwezo wa kufikiri wa watanzania wengi ni duni sana.
 
Kuna watu wanapenda sana sifa kupitia wenzao sasa nasema rasmi hapa wazi kabisa sitakubali kuchomwa sindano ng'o (maana mmesema ni hiari)

Na hata kama mkibadili gia angani (na kufanya ni lazima kwa makundi fulani- ambapo kivyovyote walimu wataingia) basi nitakuwa radhi kuacha kazi nikafanye mambo mengine tu mtaani

Mmezoea kutupeleka peleka sana ila katika hili binafsi sikubali

Kwa ambao nimewaacha hawajanielewa hapo juu ni kwamba viongozi hawa wa wilayani huku muda mwingine wanatutesa sana na wanapaa sana majina kupitia migongo yetu watumishi

Tunachangishwa elfu tano tano za mwenge kila mwaka tena kimikwara kwelikweli... ila chaajabu mnaambiwa mchango huo ni wa hiari kuonesha uzalendo! Sasa uzalendo gani wa kulazimishwa sijui (Yale yale ya kodi ya uzalendo)

Mnapotekeleza kwa wingi jambo husika basi sifa kwa halmashauri na DC eti basi!

Anajifanya ana undugu na covid-19 eee 🤣, corona sio malaria wala kipindupindu..
 
Watu tupo tunapeana mbinu za jinsi ya kuikwepa hata kama zitakuwa zinatolewa chini ya uangalizi wa JWTZ!
Hata ukimwi walianza mdogo mdogo eti kupima ni hiali sasa hivi kabla hujasalimiana na dk damu ya ukimwi imeishachukuliwa!
 
Uviko ilikuwa chambo tu, Sasa hii chanjo ndiyo mtego WENYEWE.

Wanakusababishia matatizo halafu baadae wanajifanya wamekupa msaada.

Lengo lako Waafrika INATAKIWA kuwatokomeza kizazi ili wapungue iwe rahisi kuchukua rasilimali zao.
 
Kuna watu wanapenda sana sifa kupitia wenzao sasa nasema rasmi hapa wazi kabisa sitakubali kuchomwa sindano ng'o (maana mmesema ni hiari)

Na hata kama mkibadili gia angani (na kufanya ni lazima kwa makundi fulani- ambapo kivyovyote walimu wataingia) basi nitakuwa radhi kuacha kazi nikafanye mambo mengine tu mtaani

Mmezoea kutupeleka peleka sana ila katika hili binafsi sikubali

Kwa ambao nimewaacha hawajanielewa hapo juu ni kwamba viongozi hawa wa wilayani huku muda mwingine wanatutesa sana na wanapaa sana majina kupitia migongo yetu watumishi

Tunachangishwa elfu tano tano za mwenge kila mwaka tena kimikwara kwelikweli... ila chaajabu mnaambiwa mchango huo ni wa hiari kuonesha uzalendo! Sasa uzalendo gani wa kulazimishwa sijui (Yale yale ya kodi ya uzalendo)

Mnapotekeleza kwa wingi jambo husika basi sifa kwa halmashauri na DC eti basi!
Ticha nakuunga mkono lakini kabla ya yote nenda kadidibue mkopo wako nmb ili upate mtaji kabisa!
 
Nakuunga mkono ndugu yangu, fanya lile ambalo moyo wako itakua na amani nalo.

Vyovyote vile watakavyosema lakini hizi chanjo hizi zaidi ya mwenyezi Mungu kutusaidia hakika usalama wake Ni mdogo mno haswa kwa kizazi kitakachokutwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hebu tuthibitishie kuwa usalama wa hizo chanjo ni mdogo! Tuambie madhara yake hasa ni yapi na yamemkumba nani, au kama effect itaonekana baadae ni effect gani baada ya muda gani..,!!?
 
Umewahi kuwasikia watawala wa Africa wanawapa "hiari" kwa maana ya "hiari" watu wake!?!!


Kama ikitolewa kwa hiari, wao watakulaje?


Wao watakula wapi!?

Microsoft itarudishaje gharama zake?
 
Hata kabla ya mimi, mme wangu na wanangu wote walipata chanjo mwezi wa pili, wazima na wanadunda. Mimi nilichelewa mpaka mwendazake alipoondoka ndo mama akaruhusu mashirika ya nje kuleta huduma, hivyo na mimi nimepata kupitia UN. Subiri mrejesho nitakupa.
MLIOCHANJWA MNA HAMU NA WENGINE WACHANJWE MPAKA MMEKUA KAMA WAHAMASISHAJI yaani hamjiamini amini mnataka na wengine wapigwe sindano ndo mjisikie ''afadhali tuko wengi'' 😅😅😅
very insecure
 
Kuna watu wanapenda sana sifa kupitia wenzao sasa nasema rasmi hapa wazi kabisa sitakubali kuchomwa sindano ng'o (maana mmesema ni hiari)

Na hata kama mkibadili gia angani (na kufanya ni lazima kwa makundi fulani- ambapo kivyovyote walimu wataingia) basi nitakuwa radhi kuacha kazi nikafanye mambo mengine tu mtaani

Mmezoea kutupeleka peleka sana ila katika hili binafsi sikubali

Kwa ambao nimewaacha hawajanielewa hapo juu ni kwamba viongozi hawa wa wilayani huku muda mwingine wanatutesa sana na wanapaa sana majina kupitia migongo yetu watumishi

Tunachangishwa elfu tano tano za mwenge kila mwaka tena kimikwara kwelikweli... ila chaajabu mnaambiwa mchango huo ni wa hiari kuonesha uzalendo! Sasa uzalendo gani wa kulazimishwa sijui (Yale yale ya kodi ya uzalendo)

Mnapotekeleza kwa wingi jambo husika basi sifa kwa halmashauri na DC eti basi!
Nakuunga mkono nipo tayari kuacha kazi na hata kufa kuliko kuuza nafsi yangu, nitaawaachia maiti wakitaka kunisumbua
 
Kuna watu wanapenda sana sifa kupitia wenzao sasa nasema rasmi hapa wazi kabisa sitakubali kuchomwa sindano ng'o (maana mmesema ni hiari)

Na hata kama mkibadili gia angani (na kufanya ni lazima kwa makundi fulani- ambapo kivyovyote walimu wataingia) basi nitakuwa radhi kuacha kazi nikafanye mambo mengine tu mtaani

Mmezoea kutupeleka peleka sana ila katika hili binafsi sikubali

Kwa ambao nimewaacha hawajanielewa hapo juu ni kwamba viongozi hawa wa wilayani huku muda mwingine wanatutesa sana na wanapaa sana majina kupitia migongo yetu watumishi

Tunachangishwa elfu tano tano za mwenge kila mwaka tena kimikwara kwelikweli... ila chaajabu mnaambiwa mchango huo ni wa hiari kuonesha uzalendo! Sasa uzalendo gani wa kulazimishwa sijui (Yale yale ya kodi ya uzalendo)

Mnapotekeleza kwa wingi jambo husika basi sifa kwa halmashauri na DC eti basi!
Ila cha ajabu sana ni kwamba waalimu mara nyingi ndo mnasimamia uchaguzi
ambao vyama vya upinzani kila mwaka wa uchaguzi hulalamikia kuibiwa kura
sasa iweje na ninyi wadau wa wenye mamlaka mna yenu moyoni?
 
Muache hata sasa. Ila huu ni uzwazwa tu. Kesho mtachoma wenyewe bila kelele
 
MLIOCHANJWA MNA HAMU NA WENGINE WACHANJWE MPAKA MMEKUA KAMA WAHAMASISHAJI yaani hamjiamini amini mnataka na wengine wapigwe sindano ndo mjisikie ''afadhali tuko wengi'' 😅😅😅
very insecure
Sijakuelewa, kuna mtu anahasisha au kulazimisha? Mimi ni famila ya UN hivyo nimekwenda kuchanjwa kwa ihali na kukubali masharti You have to sign a pact kwamba hujalazimishwa na kama ukipata reaction ni liability yako. hivyo usikonde litakalotupata ni juu yetu. Kati ya ndugu waliopewa chanjo ni mmoja amekuja kuwa positive after a week na yeye hakujitambua sababu hana dalili ila vyombo vilimtambua.
 
Back
Top Bottom