Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,078
- 12,752
Sawa mkuu.....👍Ifike mara ngapi ishafika kesho damka tu kadungwe
Sawa mkuu.....👍Ifike mara ngapi ishafika kesho damka tu kadungwe
Kama we vyote umefanya hivyo pia usisahau kupitia vilainishi kwenye balozi za umarekani na ubelgijiChanjo huchanjwi je vidonge vya HIV/AIDS ?
VP dawa za TB ?
vp chanjo za watoto wachanga...?
mkuu kwaiyo kutoa elfu 5 ya mwenge wa uhuru kwako unaona shida saaana Mala ngap umechangia harusi na mambo mengine Tena kwa hela nyingi unazalilisha ualimu aisee kua mzalendo kwa nchi yako mkuuKuna watu wanapenda sana sifa kupitia wenzao sasa nasema rasmi hapa wazi kabisa sitakubali kuchomwa sindano ng'o (maana mmesema ni hiari)
Na hata kama mkibadili gia angani (na kufanya ni lazima kwa makundi fulani- ambapo kivyovyote walimu wataingia) basi nitakuwa radhi kuacha kazi nikafanye mambo mengine tu mtaani
Mmezoea kutupeleka peleka sana ila katika hili binafsi sikubali
Kwa ambao nimewaacha hawajanielewa hapo juu ni kwamba viongozi hawa wa wilayani huku muda mwingine wanatutesa sana na wanapaa sana majina kupitia migongo yetu watumishi
Tunachangishwa elfu tano tano za mwenge kila mwaka tena kimikwara kwelikweli... ila chaajabu mnaambiwa mchango huo ni wa hiari kuonesha uzalendo! Sasa uzalendo gani wa kulazimishwa sijui (Yale yale ya kodi ya uzalendo)
Mnapotekeleza kwa wingi jambo husika basi sifa kwa halmashauri na DC eti basi!
Uzalendo kuchangia mwenge??mkuu kwaiyo kutoa elfu 5 ya mwenge wa uhuru kwako unaona shida saaana Mala ngap umechangia harusi na mambo mengine Tena kwa hela nyingi unazalilisha ualimu aisee kua mzalendo kwa nchi yako mkuu
Swala la korona ni sababu zipi zina kufanya uwe na mashaka kias cha kusema bora niache kazi?
Sasa kama ww ndio mtu wa kutoa elimu huko kijijin kuhusu korona daaa aise hii nchi bado tuna safari ndefuuu sana na tutafika tumechoka mnoooo
Huyo Ana akili timamu ndio Mana kaweka msisitizo kwenye chanjo ya UVIKO 19,Chanjo huchanjwi je vidonge vya HIV/AIDS ?
VP dawa za TB ?
vp chanjo za watoto wachanga...?