Mwalimu Nyerere: "...Ningekuwa na uwezo ningeitupa Zanzibar Baharini"

Nyerere is big time failure..

Ilikuwa dhambi kubwa kuacha mtu huyu madarakani kwa miaka 24! big mistake
 
Nyerere is big time failure..

Ilikuwa dhambi kubwa kuacha huyu madarakani kwa miaka 24! big mistake
Watu kama hawa lengo ni kuvuruga na kututoa kwenye mjadala,lakini kinachonishangaza zaidi WANAFANIKIWA!
 
Watu kama hawa lengo ni kuvuruga na kututoa kwenye mjadala,lakini kinachonishangaza zaidi WANAFANIKIWA!

I told ya!!!!!! kama mnakumbuka bandiko langu hahaha ahahaha ahahah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tafsiri mbona iko sawa tu? Direct translation ni ngumu mno jaman.Kwa kusema ningeizamisha,ningeipoteza,kuhamisha ... ndio hu
mo humo.

TOW ni kuvuta.Haya wanaopenda kujisemea kuvuta/kukokota nao sawa.
 
Umeshaona wapi duniani muungano wa watu zaidi ya milioni 40 na watu zaidi ya milioni 1. Yaani hata permutations, Probabilities za muungano thabiti hazipo! Njia ni moja tu UNITED STATES OF TANZANIA yaani nchi moja full stop.
 
Hivi ni wapi wamesema kuzamisha !!??

Sababu hapo naona "TOW" ambayo inamaanisha kuvuta na Middle ya Indian ocean katikati ya bahari.... Sasa wakuu ninauliza ni vipi unaweza kuzamisha kitu kwa kukivuta na sio chini ya bahari bali katikati ya bahari...

Ukisoma paragraph nzima utaona kwamba sentence inamaanisha kwamba angekipeleka kisiwa mbali ili kuepuka matatizo ya vita baridi
 
Na wewe unatumiksi si kwamba umeelewa kivile na maana zako za kim-taa mtaa. Move if far we umeona uelekeo ni upi? bado inaweza kutoka juu kuelekea chini na ikahesabika kuwa ni far vilevile. Hakuonesha direction vilevile mbali kluelekea wapi, Kusini, kaskazini, mashariki au magharibi, Issue vilevile sio kuipotezea tu, issue ni kwa nini aipeleke mbali? Ni usumbufu tuuonao sasa. Usikwepe hoja ya msingi na kuanza kutafuta vijitu vidogo.

Mkuu, kama lugha ya kiingereza imekupiga chenga, ni vema usichangie. Kwani jiografia unayoijua haikuelekezi kwamba vipo visiwa vinavyokaliwa na watu katikati ya bahari? So even if he said I'd tow Zanzibar into the middle of the Indian ocean, he didn't mean he wanted to eliminate it from the surface of the earth.
 
Lakini ukweli hiki kisiwa ni headache kwetu kwa sasa kama alivyosema mwalimu!

Ndio kwani si walimu force mwalimu ili kisiwa kitumeze sie na hao walikuwa ni USA na UK kazi zao kwa kumtishia any coup d’état itakayo tokea TZ ikimuhusu Mwalimu hawatomsaidia na ndio maana mwalimu akathubutu kutetea hilo la zanziba kutumeza sie
 
Lakini ukweli hiki kisiwa ni headache kwetu kwa sasa kama alivyosema mwalimu!
Ni kweli hata SITTA alisema bungeni kuwa mfumo wa serikali tatu tanganyika itapata mbia ambaye zanzibar,na itakuwa headache kwa tanganyika,kwani zanzibar itapiga hatua haraka mno ya maendeleo,na tanganyika hicho choyo ndicho kilichowatoka kina nyerere,hata nchi za magharibi huko europe.

Muungano umekuja na nguvu za wazungu ,hata article of union wao ndio walio draft ,zanzibar imezibitiwa kila kitu kiuchumi,na ndio maana haiwezi kupiga hatua yoyote ya kimaendeleo,zanzibar ina watu milioni moja na ushee,ina uwezo wa kupiga hatua mara moja in 5year ,ungelikuwa lulu tena.
 
Na wewe unatumiksi si kwamba umeelewa kivile na maana zako za kim-taa mtaa. Move if far we umeona uelekeo ni upi? bado inaweza kutoka juu kuelekea chini na ikahesabika kuwa ni far vilevile. Hakuonesha direction vilevile mbali kluelekea wapi, Kusini, kaskazini, mashariki au magharibi, Issue vilevile sio kuipotezea tu, issue ni kwa nini aipeleke mbali? Ni usumbufu tuuonao sasa. Usikwepe hoja ya msingi na kuanza kutafuta vijitu vidogo.
Unaona ni usumbufu lakini mufahamu 47 miaka mumetutia umasikini wazanzibari na zanzibar kwa ujumla,nyerere hakumaanisha kuwa itawasumua zanzibar wakati huu,toka hapo awali ilikuwa inamsumbua zanzibar na sio yeye tu na europian country na america walikuwa wanasumbuka vile vile,wakaona waigawe zanzibar vipande vipande haikutosha,mwisho kuwapindua wazanzibari nchi yao,chini ya wazanzibari vivuli,kama karume,na kuingiza katika kinywa cha muungano kiubana zanzibar kiuchumi.

ZANZIBAR kama sio muungano tungelikuwa mbali sana,na kama hujui history ya zanzibar mpaka ikapata uhuru wake kamili kama tanganyika 1961 ,zanzibar ilipata uhuru DECEMBER 1963 ,Na kuwa mwanachama kamili wa UN,tanganyika ilipata uhuru wake kwa muengereza 1961 hajawa mwanachama kamili wa UN hadi leo hii,lazima nyerere imuumize suala hilo.

Tanzania katika UN inatumia kiti cha wazanzibari,hizo munazosema ni kejeli zenu,na roho mbaya zenu,lakini ipo siku mutaitema zanzibar,vizazi vilivyopita sio vya sasa.

ZANZIBAR FREE SOON
 
Hivi ni wapi wamesema kuzamisha !!??

Sababu hapo naona "TOW" ambayo inamaanisha kuvuta na Middle ya Indian ocean katikati ya bahari.... Sasa wakuu ninauliza ni vipi unaweza kuzamisha kitu kwa kukivuta na sio chini ya bahari bali katikati ya bahari...

Ukisoma paragraph nzima utaona kwamba sentence inamaanisha kwamba angekipeleka kisiwa mbali ili kuepuka matatizo ya vita baridi
Hamna lolote,nyerere na elimu yake yote hakuwa na na uwezo wa kuleta maendeleo katika nchi yake,na ndio maana aliona choyo kwa zanzibar,kwa vile zanzibar ipo karibu na tanganyika inakuwa inawaumiza sana kuona visiwa vidogo kama zanzibar vina maendeleo kuliko mainland huko tanganyika.

Ukiangalia maendeleo ya tanganyika yamekuja baada ya kuongoka nyerere,kwani nyerere alikuwa na mawazo ya kizamani,na kuroho mbaya na ya kishamba,wakati wa nyerere mtu haendi ulaya,wala popote pale kutembea,wakati wa nyerere ukiwa tajiri anaku nyang'anya mali yako,kama hamuamini nendeni maeneo ya tanga kuna watanganyika wenye asili ya kiarabu ambao walikuwa matajiri wakati huo baada ya uhuru,walinyang'anywa mali zao.

Nyerere ni mtu mambaye roho mbaya kabisa,na alikuwa akipinga sana uislamu,katika east coast zanzibar ilikuwa ni nchi yenye waislamu asilimia 100,na tukiacha hilo ni nchi ambayao ilikuwa ina maendeleo mazuri sana ukitofautisha na nchi nyengine.

Uganda vile vile,zimekuja tu siasa eti eddi amini alikuwa kiwanyanyasa wananchi wake,eti akila watu,ah siasa tu,Eddi amini alikuwa muislamu,na alikuwa akipigania haki za waislamu ndani ya nchi yake,nyerere ilimtoka roho kwa kupigania kanisa lake ccm- chritian church movement.

Tuacheni basi kama headache. tumechoka na nyinyi munatutia umasikini.
 
Ghibuu,

Waambie mkuu mimi Mtanganyika lakini nyerere katuletea umaskini kwasababu ya uchoyo wake..kunyan'anya mali za watu...
 
Jamani labda hamkumwelewa Nyerere kwa sababu naona kama mnapotosha vile!..

Zanzibar ilikuwa ikitawaliwa na Sultan na wakati ule kulikuwa hakuna dalili kabisa ya AfroShiraz kushinda pamoja na jitihada zote zilizofanywa. Hivyo alitazama yatakayokuja mbeleni na alielewa pale itakuja tokea vita kubwa kwani bila vita haitakuwa rahisi nchi ile kuwa huru. Hivyo akasema kama angekuwa na uwezo angeisogeza Zanzibar ndani zaidi bahari ya Hindi ili isiwe tatizo lake na Afrika.. Na kweli, Uhuru wa Zanzibar ni historia ambayo hatutapenda kurudiwa! tunaelewa vizuri kilichotokea na UTU wa binadamu haukuthaminiwa kabisa.. Yawezekana he was right, Pengine Zanzibar ingekuwa salama zaidi kama ingekuwa ndani zaidi bahari ya Hindi ikajulikana ni sehemu ya Oman maanake wanatupa shida hadi leo hii - Who know pengine wangekuwa wameendelea zaidi ya leo hii..
Wewe soma nyakati kwanza zanzibar kabla ya uhuru na mapinduzi ilikuwa vipi kiuchumi ? Ilikuwa vipi kimaendeleo ? Ikisha linganisha na Tanganyika kwa wakati huo ifananize na zanzibar ilikuwa vipi kimaendeleo ?

Hizo unazo sema wewe ni siasa tu,sisi tunaangalia nyakati za kiamendeleo na uchumi,uwongozi. Zanzibar ilipata uhuru wake 1963 kuwa mwanachama kamili wa UN,unajua sheria za kujiunga na UN ili uweze kupatia uwanachama pale United Nation ?

Kama hujui basi kazitafute. ingia hapa United Nations and the Rule of Law

Ukiweza kutimiza hayo masharti basi ndio unaweza kupatiwa uwanachama wa UN,na katika masharti hayo ni Humain right ,sasa leo hii tunaletewa siasa na uwongo hapa kwetu,eti ubaguzi,acheni unafiki,tuwe wawazi,tusome nyakati.

Nyerere kitu ambacho kilicho muumiza zanzibar ni UTAJIRI WA ZANZIBAR basi hakuna jengine. Choyo tu.
 
hoja ya msingi ni ipi hapa?? Mwono wa nyerere au matatizo ya zanzibar enzi hizo hadi leo hii??

Huhitaji stashahada ya political science kuelewa matatizo ya zanzibar na vulnerabilities zilizopo...
muungano unafaida kwao na sio huku bara lakini wanaonza chokochoko ni wao muungano hautusaidii chochote bara kwa sasa tanzama viongozi walioko bara wanatoka kwao angalia fursa za kibiashara wabara wanachomewa hata mabanda ya makuti
 
muungano unafaida kwao na sio huku bara lakini wanaonza chokochoko ni wao muungano hautusaidii chochote bara kwa sasa tanzama viongozi walioko bara wanatoka kwao angalia fursa za kibiashara wabara wanachomewa hata mabanda ya makuti
wale sio wafanya biashara ni waharibifu wa mazingira,utamaduni na culture za wazanzibari.

Sasa nakuambia yale mabanda mmliki alikuwa ni mazanzibari,na aliwakodisha baadhi ya watanganyika,wale jamaa walikuwa hawataki kulipa kodi yake kwa muhusika,jamaa alishindwa kuchukua hatua za kisheria aliona akatie moto,baada ya tukio kulikuwa na watanganyika wengi ambao wanalala baharini tu mle kwenye mabanda au njee ya mabanda wana ganga njaa,wakajitokeza na wao eti wamepoteza mali zao kwa ushahidi upi ulikuwa na mali hio ?

Silikiza dogo,muungano hausiani na masuala ya biashara ambao tuliona sisi,ukiangalia hio article of union basi ni tofauti na hoja zako,hata kama tusingelikuwa na muungano basi sisi wazanzibari kama kweli ni wafanya biashara tungelikuja huko huko tanganyika kuja kuwekeza,fikira zako wazanzbari wako tanganyika tu ? Nenda msumbiji,nenda uganda,nenda kenya,nenda shouth africa,nenda UK,nenda america,kila kona ya dunia mzanzibari utamuona anafanya biashara,na muungano isiwe sababu ya wanyanyasa wazanzibari,tanganyika wako wachina sasa hivi kila kona na wakenya nii muungano pia ?

Hatuwezi kuyafumbia macho mambo amabyo inaikosesha zanzibar na watu wake haki zake za msingi kisheria,nyinyi watanganyika munatuona wabaya sana sisi wazanzibari,natizo lenu nyinyi hamuujui mambo ,munajifanya mumesoma,lakini muungano hasa hamuujui nyinyi,wazanzibari wanaujua sana kwa sababu wamesoma nyakati na sheria. nenda kasome wanguuuuu ushauri wa buree
 
Wewe soma nyakati kwanza zanzibar kabla ya uhuru na mapinduzi ilikuwa vipi kiuchumi ? Ilikuwa vipi kimaendeleo ? Ikisha linganisha na Tanganyika kwa wakati huo ifananize na zanzibar ilikuwa vipi kimaendeleo ?

Hizo unazo sema wewe ni siasa tu,sisi tunaangalia nyakati za kiamendeleo na uchumi,uwongozi. Zanzibar ilipata uhuru wake 1963 kuwa mwanachama kamili wa UN,unajua sheria za kujiunga na UN ili uweze kupatia uwanachama pale United Nation ?

Kama hujui basi kazitafute. ingia hapa United Nations and the Rule of Law

Ukiweza kutimiza hayo masharti basi ndio unaweza kupatiwa uwanachama wa UN,na katika masharti hayo ni Humain right ,sasa leo hii tunaletewa siasa na uwongo hapa kwetu,eti ubaguzi,acheni unafiki,tuwe wawazi,tusome nyakati.

Nyerere kitu ambacho kilicho muumiza zanzibar ni UTAJIRI WA ZANZIBAR basi hakuna jengine. Choyo tu.
Unaandika madudu gani haya? unalinganisha Zanzibar na Tanganyika kabla ya Uhuru ili upate kitu gani? - wewe mtumwa wa Jamsheed? inahusu vipi maendeleo yaliyoletwa na Sultan kulinganisha na na ya Mjarumani au Muingereza!...

Zanzibar imejiunga UN kama nchi inayotawaliwa na Sultan wa Oman sasa hii waona sifa? Mali yote ya nchi ilikuwa ya Sultan hii sifa kweli. Acha uchizi bwa mdogo ni maendeleo gani unayozungumzia haswa maanake hakuna barabara bali vichochoro, usafiri shida, hakuna reli, uwanja wa ndege vumbi, hiyo Bandari yenyewe hata ya Nansio, Ukerewe ilikuwa bora.

Bora utafute uwanja unaolingana na wewe sii hapa JF maanake huna unalolifahamu isipokuwa kwa kuhadithiwa...
 
Back
Top Bottom