Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
"Tunaweza kumpatia uongozi na madaraka mwanaume mlevi, lakini hatuwezi kumpa madaraka kama hayo mwanamke akiwa mlevi" Mwl. J.K Nyerere
Mwalimu alimaanisha tunapotaka kutoa madaraka kwa wanawake lazima vigezo viwe tofauti na wanaume! Kwa wanawake vigezo vinakua vingi zaidi
Lakini mimi sijaona tofauti ya mwanamke mlevi na mwanaume mlevi. Kwanini iwe kosa na dhambi kubwa kuiamini jinsia moja na kuitweza nyingine ilhali kilevi na kulewa ni kukekule?
Kwani kinachohofiwa kitafanywa na kiongozi mlevi mwenye jinsia ya kike si ndio hichohicho anaweza kufanya kiongozi mlevi mwenye jinsia ya kiume?
Mwalimu alimaanisha tunapotaka kutoa madaraka kwa wanawake lazima vigezo viwe tofauti na wanaume! Kwa wanawake vigezo vinakua vingi zaidi
Lakini mimi sijaona tofauti ya mwanamke mlevi na mwanaume mlevi. Kwanini iwe kosa na dhambi kubwa kuiamini jinsia moja na kuitweza nyingine ilhali kilevi na kulewa ni kukekule?
Kwani kinachohofiwa kitafanywa na kiongozi mlevi mwenye jinsia ya kike si ndio hichohicho anaweza kufanya kiongozi mlevi mwenye jinsia ya kiume?