Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,085
- 6,564
Kama muasisi wa taifa letu alipaswa kuhakikisha taifa linakuwa na katiba ambayo hakuna chama tawala kitalifanya taifa letu mali ya wachache.
CCM aliyoiacha haina misingi vizuri ya kurithisha viongozi ambao wanauchungu na matatizo ya taifa lao.
Ufisadi, ubinafsi na kuwaona wananchi ni wajinga ndio imebakia kuwa msingi wa CCM hii ya leo.
Kwa kuacha taifa ambalo limekua na ukiritimba wa watu wachache kuwafanya wengine wapumbavu huku wakijiona ni wajukuu na watoto wa wafalme wa KiccM alituachaia balaa kama taifa.
CCM aliyoiacha haina misingi vizuri ya kurithisha viongozi ambao wanauchungu na matatizo ya taifa lao.
Ufisadi, ubinafsi na kuwaona wananchi ni wajinga ndio imebakia kuwa msingi wa CCM hii ya leo.
Kwa kuacha taifa ambalo limekua na ukiritimba wa watu wachache kuwafanya wengine wapumbavu huku wakijiona ni wajukuu na watoto wa wafalme wa KiccM alituachaia balaa kama taifa.