nikizionaga hizo nguo huwa nashikwa na tumbo la kuhara
Angekuwepo ANGEACHA MKE, Walahhh wabilah!!!
View attachment 38407View attachment 38408View attachment 38409
Nyerere alikuwa anafahamu nafasi yake Tanzania na alikuwa anawafahamu fika watu watakao mrithi hivyo hakutaka mbele ya safari achafuke kwa kuonekana alikuwa mwanachama. Kulikuwa na tetesi kwamba alitaka kurudisha hata kikadi chao, wakamuomba asifanye hivyo.Huenda ni kweli kwani hata mimi kwa kumbukumbu zangu bado sikumuona hata siku moja kuvaa jezi ya kijani
Kwenye Matukio ya Muhimu sana kwa taifa alikuwa anavaa kama wanavyovaa Chadema.