LAZIMA NISEME
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 232
- 260
Angalia Video ya Mwalimu Nyerere alipzungumzia Dini na Siasa...
Mwalimu Nyerere Alipozungumzia Dini na Siasa alikuwa anasisitiza kwamba kila taasisi inajitegemea na inategemea nyingine kwa upande fulani. Lakini Mojawapo isitumike kwa lengo la kuikandamiza nyingine ili kujipatia madaraka.
Unapotumia dini kujipatia madaraka ni lazima utawagawa watu. Utakuwa ni mfuasi wa watu wa hizo dini ulizoamua kuzitumikia na wale ambao hawapo kwenye hizo dini utakuwa umewaacha pembeni hivyo utaleta mpasuko.
Vilevile kila dini inautaratibu wake katika kufikisha au kuonya jamii kwa kutumia vitabu vitakatifu.
Mwalimu Nyerere Alipozungumzia Dini na Siasa alikuwa anasisitiza kwamba kila taasisi inajitegemea na inategemea nyingine kwa upande fulani. Lakini Mojawapo isitumike kwa lengo la kuikandamiza nyingine ili kujipatia madaraka.
Unapotumia dini kujipatia madaraka ni lazima utawagawa watu. Utakuwa ni mfuasi wa watu wa hizo dini ulizoamua kuzitumikia na wale ambao hawapo kwenye hizo dini utakuwa umewaacha pembeni hivyo utaleta mpasuko.
Vilevile kila dini inautaratibu wake katika kufikisha au kuonya jamii kwa kutumia vitabu vitakatifu.