Mwalimu Nyerere aliona mbali madhara kuruhusu kabila kubwa kushika madaraka ya Urais

Kati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano.

Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita kwa sababu madhara yaliyotokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa Serikali ya awamu ya sita, nadhani wenye uelewa mzuri wameelewa.

Logout.
Hapa umeongea ukweli mtupu.
 
Kati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano.

Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita kwa sababu madhara yaliyotokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa Serikali ya awamu ya sita, nadhani wenye uelewa mzuri wameelewa.

Logout.
Tengeneza katiba nzuri tuache kubahatisha
 
Lakini historia inaonyesha Koo fulani au ukabila flani ndo zimebarikiwa kutawala,
Wakriso na waislam mmenielewa

hii ya kusema ukabila flani ni myth,' iliyotokana na inferiority complex ya watawala wa mwanzo,

ambayo haija fully utilize uwezo mkubwa wa hayo makabila katika kuingiza mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi,

Unajua hata wasomi na wanasiasa top tunao waona leo walibebwa na mfumo wa kuwanyima fursa makabila flani, Ili kubalance au.kuwapunguza nguvu

Mfano; ukimsikiliza Membe na ukimsikiliza Ulimwengu utagundia tofauti kubwa mno.
 
Kabila kubwa Tanzania ni wasukuma, there is no way ukawaondoa kwenye mfumo wa uongozi wa nchi hii, wako kila mahala.

Wasuluma ni karibu robo ama theluthi ya watanzania wote maana wanakaa mikoa ya Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Tabora, Katavi, Kagera, Kigoma, Singida na kwenda hadi huko Mbeya.

Hao tu peke yao wakiamua wanaweza ku-influence siasa za nchi hii.

Sisi ambao sio wasukuma tukubali tu kwamba hakuna namna ya hao jamaa kua wengi serikalini hata kama rais asingekua Magufuli.

Wewe kwako Nyerere angesema upigwe miti ungekubali kisa kasema Nyerere, yani wewe Nyerere ni kila kitu, chochote alichokisema ni asilimia mia. Halafu hayo Nyerere aliyasema wapi?
Tatizo la nchi yetu ni kuwapa urais watu wasio na maono, watu wenye akili za ngoma za kienyeji, hii inatugharimu sana.
 
We jamaa ni mtu wa ajabu sana.Unaacha kuzungumza changamoto tunazokumbana nazo wakati huu wa awamu ya sita kama tozo,ukosefu wa umeme wa uhakika,maji ya uhakika unakesha kuzungumzia mambo ambayo yamepita? matokeo utakuja kutuambia suala la mgao wa maji na umeme tozo zimesababishwa na awamu ya tano_ONA AIBU BASI
 
Aisee mpaka leo sijajua sababu ilikuwa nini.
Wasuka wakija dukani kwako,omba mmoja anunue,wote watanunua hichohicho,rangi huyohuyo,na siku nyingine watakuja wengine kwako kununua kilekile,waarabu wanawajua vizuri,wakija wanawapa kwanza chai ya maziwa au coca,wanapga nao story kwa kisukuma,hapo watanunua vitu hata vya laki na zaidi,na watawaambia wenzao
 
Wasukuma wote tunaamini alikuwa ni msukuma hata particular zake amekuwa akiandika yy ni Msukuma siasa za kishenzi pelekeni kaskazini
Msukuma si mshenzi kama sliyeua watu na tabia za ukatili, choyo, wivu, kujipendelea kwao, ukabila wa kupindukia.
Tuekeze unakotika, huko mpakani na majirani zetu.
 
Kati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano.

Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita kwa sababu madhara yaliyotokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa Serikali ya awamu ya sita, nadhani wenye uelewa mzuri wameelewa.

Logout.
Nyerere alikosea sana hapo.
Watu wapewe madaraka kwa uwezo wao siyo makabila yao.
 
Wasuka wakija dukani kwako,omba mmoja anunue,wote watanunua hichohicho,rangi huyohuyo,na siku nyingine watakuja wengine kwako kununua kilekile,waarabu wanawajua vizuri,wakija wanawapa kwanza chai ya maziwa au coca,wanapga nao story kwa kisukuma,hapo watanunua vitu hata vya laki na zaidi,na watawaambia wenzao
😅😅😅😅wale jamaa haya wasome waende ulaya ushamba unabaki palepale.
 
Hata jiwe alipewa kwa uwezo factor iliyomwathiri ni ukabila.
Ukabila gani? Nendeni Kenya mkajifunze ukabila. Hii nchi ikiwa ya kikabila kila siku Rais angetoka kanda ya ziwa kwenye idadi wengi ya watu. JPM kafariki usikii mtaani wasukumu au watu wa kanda ya ziwa wakiongolea ukabila wala ukanda ambavyo ni viashiri vya ukabila. Wengi wame move on.
 
se
Ukabila gani? Nendeni Kenya mkajifunze ukabila. Hii nchi ikiwa ya kikabila kila siku Rais angetoka kanda ya ziwa kwenye idadi wengi ya watu. JPM kafariki usikii mtaani wasukumu au watu wa kanda ya ziwa wakiongolea ukabila wala ukanda ambavyo ni viashiri vya ukabila. Wengi wame move on.
sema mmemuvu oni.
 
Back
Top Bottom