Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Jana UDASA naona habari nyingi zimesemwa lakini hakuna anayetaka kusema alicho kisema Kitine mbele za watu .I also loved him he careless na titles za akina Muhongo maana anaona watu wanalia na Titles wakati Nchi haiko sawa .
Mwalimu Nyerere aliniambia , Hans msije kuruhusu kuchimba maliaasili kwa haraka , maana mtapata laana .Acheni Watanzania wajimbue ndipo wachimbe maliasili yao .Mkiharikisha kuchimba , mtadhurumiwa na mtalaaniwa -Hans Kitine
Sasa mwana JF kama ulifuatilia unasemaje kuhusu kauli yake ? Aliongelea pia rushwa kwa uchungu mkubwa .Na kutoboa kwamba alicho ambiwa na Mwalimu amesha waambiwa wakubwa na watawala nadhani alimaanisha Rais na akaishia kusema na hata wewe Muhongo nilisha kueleza whata Mwalimu said .
Sijaona kokote hauli hii inaongelewa .Je ni kwa bahati mbaya au ndiyo njia ile ile ?
Mwalimu Nyerere aliniambia , Hans msije kuruhusu kuchimba maliaasili kwa haraka , maana mtapata laana .Acheni Watanzania wajimbue ndipo wachimbe maliasili yao .Mkiharikisha kuchimba , mtadhurumiwa na mtalaaniwa -Hans Kitine
Sasa mwana JF kama ulifuatilia unasemaje kuhusu kauli yake ? Aliongelea pia rushwa kwa uchungu mkubwa .Na kutoboa kwamba alicho ambiwa na Mwalimu amesha waambiwa wakubwa na watawala nadhani alimaanisha Rais na akaishia kusema na hata wewe Muhongo nilisha kueleza whata Mwalimu said .
Sijaona kokote hauli hii inaongelewa .Je ni kwa bahati mbaya au ndiyo njia ile ile ?