Linyakalumbi
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 263
- 107
Kuona tunda moja bovu sio maana yake kuachana na mti wote mbwiga...."Just because you found one bad apple, doesn't mean you give up on the whole tree".:tape::amen:Kitine mnafiki tu huyo, mfa maji, ye amesahau alimpeleka mkewe ulaya kutibiwa jipu.
Hata kama alimpeleka mkewe kutibiwa jipu sijui chunusi....Alichosema kwenye kongamanao kina MANTIKI au HAPANA?????Ndicho tunachojadili kwa sasa...Mbona Mzee wa Tembo kakiri akiwa Njombe Kwamba Chama Chenu Magamba Kweli kimechafuka wakati mchafuaji mmoja wapo ni yeye!!!!:A S-confused1: