SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Hanga alinyongwa na Karume, kumbuka Hanga hakuwahi kuwamo katika serikali na Muungano, yeye alikuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar. Babu ambaye alikuwa waziri wa mipango na uchumi alishtumiwa kuhusika na mauaji ya Karume, hivyo akashikwa na kuwekwa kizuizini hapa Keko. Baaya ya kuonekana hana hatia aliachiwa huru na Nyerere, akaamua kwenda Ulaya; hakuomba ukimbizi kukimkimbia Nyerere kwani tayari alikuwa alikuwa kuzuizini hapa hapa kwa karibu miaka miwili. Nakushauri usisikilize sana porojo za mtaani sana, tafuta ukweli; upo tu.
Ina maana Nyerere alimwuuza au alimchuuza Hanga?