Mwalimu Nyerere akiwa na John F Kennedy nchini Marekani

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,268
1602886944128.png
 
Mwalimu alikuwa mtu wa ajabu sana. Ukimuweka na wazungu anakaa nao saaaaf, ukimpeleka vijijini anaishi vema tu na watu. Hakika huyu mzee alikuwa ni zawadi ya watanzania kutoka kwa Mungu.
Nilisoma mahali fulani, wazungu waliukubali uwezo wake katika kuimudu lugha ya Kiingereza na aliweza mpaka kutumia misamiati akiwa anatoa mifano.
 
Back
Top Bottom