Mwalimu Mwakasege: MUNGU usitunyamazie yatosha BABA !

Mwalimu Mwakasege: MUNGU usitunyamazie yatosha BABA !

Tusali wote tumuombe Mungu asitunyamazie.

View attachment 3601644
maombi ya mwenye haki yana nguvu kubwa sana na yanapaswa kuheshimiwa au kuogopwa kwa sababu yanabeba mamlaka ya kimungu yanayoleta matokeo ya haraka.
Msingi wa usemi huu unapatikana katika Biblia kwenye kitabu cha Yakobo 5:16 inayosema: "Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii."
 
maombi ya mwenye haki yana nguvu kubwa sana na yanapaswa kuheshimiwa au kuogopwa kwa sababu yanabeba mamlaka ya kimungu yanayoleta matokeo ya haraka.
Msingi wa usemi huu unapatikana katika Biblia kwenye kitabu cha Yakobo 5:16 inayosema: "Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii."
AMINA
 
Back
Top Bottom