Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,324
- 17,829
Nimeshitushwa na muonekano wa mwalimu mmoja kati ya wawili wanao tuhumiwa kosa la mauaji ya mwanafunzi mkoani kagera kukusuduia .
Katika picha akiwa eneo la mahakama anaoneka akitabasamu wakati mwalimu mwenzie akionekana kuficha sura yake.
Kitendo cha mwenzie kuficha sura inaonesha anajisikia vibaya kwa kutuhumiwa kosa la kitendo kinacho chukuliwa kama cha kikatili ktk jamii yetu.
Hali imeonekana tofauti kwa mwalimu mwenzie ambae anafurahi kwa tabasamu kama vile ni tukio la kawaida. Hii imepelekea kunipa hisia huenda huyu mwalimu ana tatizo flani linalopelekea hali hiyo.
Angalizo: Kesi ipo mahakamani hivyo tujizuie michango yoyote yenye kuingilia muenendo wa kesi mahakamani au kuingilia uhuru na haki za watuhumiwa.
Jionee mwenyewe kwenye picha ifuatayo:
katika picha : Walimu shule ya msingi Kibeta katika manispaa ya Bukoba wakifikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kosa la mauaji ya kukusudia ya mwanafunzi Sperius Eradius.
Picha kwa hisani ya IPPMEDIA.
Katika picha akiwa eneo la mahakama anaoneka akitabasamu wakati mwalimu mwenzie akionekana kuficha sura yake.
Kitendo cha mwenzie kuficha sura inaonesha anajisikia vibaya kwa kutuhumiwa kosa la kitendo kinacho chukuliwa kama cha kikatili ktk jamii yetu.
Hali imeonekana tofauti kwa mwalimu mwenzie ambae anafurahi kwa tabasamu kama vile ni tukio la kawaida. Hii imepelekea kunipa hisia huenda huyu mwalimu ana tatizo flani linalopelekea hali hiyo.
Angalizo: Kesi ipo mahakamani hivyo tujizuie michango yoyote yenye kuingilia muenendo wa kesi mahakamani au kuingilia uhuru na haki za watuhumiwa.
Jionee mwenyewe kwenye picha ifuatayo:
katika picha : Walimu shule ya msingi Kibeta katika manispaa ya Bukoba wakifikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kosa la mauaji ya kukusudia ya mwanafunzi Sperius Eradius.
Picha kwa hisani ya IPPMEDIA.