TANZIA Mwalimu Mrs. Prosscovier Luhaga afariki Dunia

Tuliowahi Kusoma Kibaha Boys, wale Wa Kibaha Girls, na Tumbi Sekondari Watakuwa Wanamkumbuka Mkuu Wa Shule Ya Wasichana Kibaha na Pia Mkuu Wa Shule Ya Sekondari Tumbi.

Mwl.Prosscovier K. Luhaga amefariki Jana na Msiba Uko Kwake Kibaha, Picha Ya Ndege

Mme Wa Marehemu Mzee. Luhaga Aliwahi Kunifundisha Kemia Wakati Nasoma Kibaha Boys.

R.I.P. Mrs Luhaga View attachment 1945928
Ila rekebisha taarifa yako kidogo huyu mama kafariki kama siku 3 zilizopita

Na ndo watu walizusha kuwa ni mke wa Profesa LUHANGA wakichanganya na huyu mama LUHAGA wa kibaha

Mimi nna urafiki na Familia zote mbili niliuliza humu somewhere siuoni ule uzi

Apumzike kwa amani mama Dietrich

Cc Mshana Jr
 
Ila rekebisha taarifa yako kidogo huyu mama kafariki kama siku 3 zilizopita

Na ndo watu walizusha kuwa ni mke wa Profesa LUHANGA wakichanganya na huyu mama LUHAGA wa kibaha

Mimi nna urafiki na Familia zote mbili niliuliza humu somewhere siuoni ule uzi

Apumzike kwa amani mama Dietrich

Cc Mshana Jr
Yes amefariki trh. 16 Jzi... Asante Kwa Marekebisho. John Luhaga Ni Rafiki Yangu Sana
 
Dah Kibaha Boys my former camp, some great memory. RIP mama Luhaga, mume wake alitufundisha kemia ila kwa muda mfupi sana. Mwampaja namkumbuka tulimkuta pale tulipoingia form five ila ndiyo alikuwa anajiandaa kuondoka alafu akaingia huyo Kayenga.
 
Hivi Luhaga ndio Abacha? maana miaka imeenda kichwa kimebakia na a.k.a za waalimu, majina yao halisi hatukuyatumia sana wakati huo
 
RIP Madame
At our time She was academic Mistress while Mr was Discipline Master under Mr Msaky as head Master
Those old good days
 
Back
Top Bottom