Mshindaji
Member
- Oct 28, 2020
- 38
- 91
Tumemchagua na atashinda kwa kishindo, maisha yako magumu yasitufanye tukose maendeleo.Kuna walimu watamchagua Magufuli kwenye uchaguzi mkuu huu.
Tumemchagua na atashinda kwa kishindo, maisha yako magumu yasitufanye tukose maendeleo.Kuna walimu watamchagua Magufuli kwenye uchaguzi mkuu huu.
Mwalimu Losia aliyekuwa mwalimu Mkuu wa shule ya msingi mjini Moroto amekuwa ombaomba mtaani baada ya kumaliza utumishi wa umma.Hakulipwa pensheni yake.
Kuna wangapi wa aina hii nchini Tanzania ambao wamekufa kwa stress, wamepooza mwili, na wanasononeka kwa kupata madhila haya?
Wengine wanapata pension ndogo kwa sababu ya kutopandishwa madaraja wakati wanastaafu miaka hii 5?
CCM Oyeeeee. Tunataka maendeleo ya vitu na sio ya watuMwalimu Losia aliyekuwa mwalimu Mkuu wa shule ya msingi mjini Moroto amekuwa ombaomba mtaani baada ya kumaliza utumishi wa umma.Hakulipwa pensheni yake.
Kuna wangapi wa aina hii nchini Tanzania ambao wamekufa kwa stress, wamepooza mwili, na wanasononeka kwa kupata madhila haya?
Wengine wanapata pension ndogo kwa sababu ya kutopandishwa madaraja wakati wanastaafu miaka hii 5?
Mkuu nafahamu sana nilikuwa natania tu ndugu yangu! Sasa janga limekuja tena na watajuta kuzaliwa hii mitano tena!Yaonekana wewe bado ni mtoto mdogo usiojua hata yanayotokea Tanzania. Hujui wapo wastaafu huu mwaka wa 3 hawajalipwa pensions zao? Wengine wameshafariki. Sababu ni urasimu serikalini. Mifuko ya jamii yenyewe ni mufulisi sababu ya Serikali kukopa bila kulipa.
Turudishieni mitandao yetuTatizo mnaishia mitandaoni..kura haipigwi huku..