Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kilaini iliyopo Bukoba vijijini na afisa elimu wa wilaya ya Bukoba wanahojiwa na polisi kwa kutokuchukua hatua kwa mwanafunzi anayeendelea na masomo akiwa na ujauzito wa miezi sita.
Nini maoni yenu wadau?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini maoni yenu wadau?
Sent using Jamii Forums mobile app