Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,378
- 39,319
Ifuatayo ni sehemu ya kwanza ya hotuba aliyoitoa Baba wa Taifa kwenye sherehe za Mei Mosi 1995. Tunapokumbuka miaka nane tangu Mwalimu Nyerere afariki hatuna budi kupitia japo kwa hatua hazina ya hekima yake.
Wakati anatoa hotuba hii mwaka 1994 kulikuwa na mgomo wa wafanyakazi, na mwaka 1995 ulikuwa ni mwaka wa uchaguzi na huo ukiwa ni uchaguzi wa kwanza baada ya kurejesha tena mfumo wa vyama vingi. Hivyo, Mwalimu alipokuwa anatoa hotuba hii watu wengi walikuwa wanaonesha nia ya kutaka kwenda Ikulu na alitumia nafasi hiyo pia kuliasa taifa.
Hotuba hii imekuwa ikinukuliwa na watu wengi ila wengi wetu hatuna uhakika Mwalimu alisema nini hasa siku hiyo. Hii ni sehemu ya kwanza ya hotuba nzima. "Kuna nini Ikulu?" Ni mojawapo ya maswali ambayo Mwalimu aliuliza siku ile... sisi leo hii tumeanza kupata majibu..
Sikiliza: KLH Exclusive.
Wakati anatoa hotuba hii mwaka 1994 kulikuwa na mgomo wa wafanyakazi, na mwaka 1995 ulikuwa ni mwaka wa uchaguzi na huo ukiwa ni uchaguzi wa kwanza baada ya kurejesha tena mfumo wa vyama vingi. Hivyo, Mwalimu alipokuwa anatoa hotuba hii watu wengi walikuwa wanaonesha nia ya kutaka kwenda Ikulu na alitumia nafasi hiyo pia kuliasa taifa.
Hotuba hii imekuwa ikinukuliwa na watu wengi ila wengi wetu hatuna uhakika Mwalimu alisema nini hasa siku hiyo. Hii ni sehemu ya kwanza ya hotuba nzima. "Kuna nini Ikulu?" Ni mojawapo ya maswali ambayo Mwalimu aliuliza siku ile... sisi leo hii tumeanza kupata majibu..
Sikiliza: KLH Exclusive.