CWT ni tawi la CCM angalia ndugu zako dodoma huko
Unakataa nini habari ndio hiyoAcha hizo bana
Hiki chama kazi yake kubwa ni kula pesa za walimu hakina msaada wowote kwao,zaidi kimekua kinachukua pesa za walimu kinguvu heri kifutwe kibaki kua vuvuzela la ccm.Mwalimu wekeza kura yako kwa kumpigia huyu mgombea kama Katibu Msaidizi- Ana weledi, mawazo mapya, mfuatiliaji, anajali na mchapakazi hasa. Mkombozi wa Walimu.
ATTACH=fView attachment 1440679
CWT sub branch ya CCMMwalimu wekeza kura yako kwa kumpigia huyu mgombea kama Katibu Msaidizi- Ana weledi, mawazo mapya, mfuatiliaji, anajali na mchapakazi hasa. Mkombozi wa Walimu.
ATTACH=fView attachment 1440679
Bora hata CCM husaidia watu kama misaada,sio hao CWT wanyonyajiCWT sub branch ya CCM
Toa ujinga wako humuMwalimu wekeza kura yako kwa kumpigia huyu mgombea kama Katibu Msaidizi- Ana weledi, mawazo mapya, mfuatiliaji, anajali na mchapakazi hasa. Mkombozi wa Walimu.
ATTACH=fView attachment 1440679
Acha ukuda unataka tukale wapi sasa??Hiki chama kazi yake kubwa ni kula pesa za walimu hakina msaada wowote kwao,zaidi kimekua kinachukua pesa za walimu kinguvu heri kifutwe kibaki kua vuvuzela la ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni MEK nn?Acha ukuda unataka tukale wapi sasa??
Umejiandaje kwenda kula au kwenda kuiba fedha za michango ya cwt ? Taja faida tano za cwt kwa walimu . Eleza walimu Kwanini cwt isifutwe? Je Nini faida ya michango ya cwt kwa wanachama wake? Ile bank ya walimu imewezaje kuwasaidia walimu ambao ni wanachama wa bank? Miaka mingi hatujaona mapato na matumizi ya jengo la walimu unayafahamu?Mwalimu wekeza kura yako kwa kumpigia huyu mgombea kama Katibu Msaidizi- Ana weledi, mawazo mapya, mfuatiliaji, anajali na mchapakazi hasa. Mkombozi wa Walimu.
ATTACH=fView attachment 1440679