Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Kuna methali inasema "Jina humuua mwenyewe",
Tuliwahi kuwa Na kiongozi aliyeitwa "Mwalimu". Matokeo ya jina hilo in wananchi waume, wake na watoto kupatiwa Elimu bure kupitia program mbali mbali. Mamilioni ya watu wazma ambao hawakubahatika kusoma katika utoto wao walipatiwa Elimu nchi nzima.
Watoto wrote waliweza kuandikishwa darasa la kwanza kupitia mpango was UPE.
Ni katika nyakati hizo ambapo Elimu toka chekechea hadi chuo kikuu ilikuwa bure. Na Elimu ya juu iliku
wa inatolewa katika mazingira yenye hadhi ya kutosha
Kiongozi wetu was sasa anaitwa Tingatinga (Bulldozer) Mashine maalum za sekta ya ujenzi, ambazo pia hutumika kubomoa Nyumba.
Toka aingie madarakani nchi imetawaliwa Na bomoa bomoa ya Nyumba za wananchi, hususan katika maeneo yanayoongozwa wabunge, madiwani Na wenyeviti wa vijiji Na mitaa kutoka upinzani.
Chini ya utawala huu wananchi wameonewa sana Kwa kubomolewa Nyumba zao, kupokwa Ardhi zao Na kurejeshwa katika umaskini wa kutupwa Kwa kisingizio eti in wavamizi.
Kama ambavyo zama za 'Mwalimu" nchi ilivyoendea Kielimu. Zama za Bomoa bomoa mwenyezi mungu amechoshwa Na uonevu huu unaoendelezwa Na utawala huu Na hivyo ameanza kutoa adhabu Kwa kuteremsha gharika linalobomoa bomoa miundombinu Tingatinga aliyojivunia kuijenga.
Kwa Mara ya kwanza toka baadhi vituo vya kupima viwango vya mvua kujengwa mwaka 1918 haijawahi kunyesha mvua kama iliyonyesha jijini Dar es Salaam tarehe 25-26 Okt 2017 Na kuzoa madaraja, barabara n.k. Gharika hili limevuruga mfumo mzima wa miundomninu hapa jijini, hivyo kumvurugia Tingatinga utekelezaji was ahadi zake Kwa sababu atalazimika kutumia mabilioni ya shilingi kurejesha miundombinu husika.
Je ni kwanini gharika hili litue Dar peke yake. Ni kwa sababu jiji hili linaongozwa Na kiongozi aliyebariki wananchi kuonewa Kwa kubomolewa Nyumba zao, kuporwa Ardhi zao n.k. Yeye ndio ametoa askari wa kusimamia bomoa bomoa hizi.
Hili linatakiwa kuwa funzo maaluma Kwa Tingatinga Na kiongozi wa Dar kuwa uongozi in dhamana. Lakini mungu yupo. Na akichoshwa Na udhalimu wa viongozi hupitisha adhabu yake. Kama ilivyokuwa kwenye enzi za Gharika katika vitabu vya dini wanaoumia ni waliohusika Na dhambi Na wasiohusika. Kwa sababu wakazi wa Dar walikuwa wanashabikia bomoa bomoa hizi dhalimu ndio maana itawapasa kuteseka Kwa hii hukumu ya mungu.
Hili liwe fundisho Kwa Tingatinga Na kiongozi was Dar kuwa wao sio Alpha Na Omega.
Tuliwahi kuwa Na kiongozi aliyeitwa "Mwalimu". Matokeo ya jina hilo in wananchi waume, wake na watoto kupatiwa Elimu bure kupitia program mbali mbali. Mamilioni ya watu wazma ambao hawakubahatika kusoma katika utoto wao walipatiwa Elimu nchi nzima.
Watoto wrote waliweza kuandikishwa darasa la kwanza kupitia mpango was UPE.
Ni katika nyakati hizo ambapo Elimu toka chekechea hadi chuo kikuu ilikuwa bure. Na Elimu ya juu iliku
wa inatolewa katika mazingira yenye hadhi ya kutosha
Kiongozi wetu was sasa anaitwa Tingatinga (Bulldozer) Mashine maalum za sekta ya ujenzi, ambazo pia hutumika kubomoa Nyumba.
Toka aingie madarakani nchi imetawaliwa Na bomoa bomoa ya Nyumba za wananchi, hususan katika maeneo yanayoongozwa wabunge, madiwani Na wenyeviti wa vijiji Na mitaa kutoka upinzani.
Chini ya utawala huu wananchi wameonewa sana Kwa kubomolewa Nyumba zao, kupokwa Ardhi zao Na kurejeshwa katika umaskini wa kutupwa Kwa kisingizio eti in wavamizi.
Kama ambavyo zama za 'Mwalimu" nchi ilivyoendea Kielimu. Zama za Bomoa bomoa mwenyezi mungu amechoshwa Na uonevu huu unaoendelezwa Na utawala huu Na hivyo ameanza kutoa adhabu Kwa kuteremsha gharika linalobomoa bomoa miundombinu Tingatinga aliyojivunia kuijenga.
Kwa Mara ya kwanza toka baadhi vituo vya kupima viwango vya mvua kujengwa mwaka 1918 haijawahi kunyesha mvua kama iliyonyesha jijini Dar es Salaam tarehe 25-26 Okt 2017 Na kuzoa madaraja, barabara n.k. Gharika hili limevuruga mfumo mzima wa miundomninu hapa jijini, hivyo kumvurugia Tingatinga utekelezaji was ahadi zake Kwa sababu atalazimika kutumia mabilioni ya shilingi kurejesha miundombinu husika.
Je ni kwanini gharika hili litue Dar peke yake. Ni kwa sababu jiji hili linaongozwa Na kiongozi aliyebariki wananchi kuonewa Kwa kubomolewa Nyumba zao, kuporwa Ardhi zao n.k. Yeye ndio ametoa askari wa kusimamia bomoa bomoa hizi.
Hili linatakiwa kuwa funzo maaluma Kwa Tingatinga Na kiongozi wa Dar kuwa uongozi in dhamana. Lakini mungu yupo. Na akichoshwa Na udhalimu wa viongozi hupitisha adhabu yake. Kama ilivyokuwa kwenye enzi za Gharika katika vitabu vya dini wanaoumia ni waliohusika Na dhambi Na wasiohusika. Kwa sababu wakazi wa Dar walikuwa wanashabikia bomoa bomoa hizi dhalimu ndio maana itawapasa kuteseka Kwa hii hukumu ya mungu.
Hili liwe fundisho Kwa Tingatinga Na kiongozi was Dar kuwa wao sio Alpha Na Omega.