Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Kwenye taarifa ya star tv wamemuonesha mwalimu mmoja wa shule ya msingi ambaye anafanya kazi hiyo baada ya masaa ya kazi. Nimesahau jina na halmashauri yake. Imeniumiza sana kwa kweli, tena anasema kabisa maisha yamemuwea magumu. Poleni shemeji zangu! Nchi yenye kila utajiri wa kuwalipa mishahara hata wasiofanya kazi lakini wanapewa madaraka majangili wa siku zote.