Mwalimu auawa kikatili Tarime

Hii Inaitwa Sasa Tunaingia Mkoa Wa Mara,,, Pale Tunapokuwa Safarini,,, Poleni Sana Kwa Wafiwa... Kama Mtu Anamuua Mwenzake Kwa Njia Hiyo Hakuna Haja Ya Kuondoa Ashabu Ya Kunyongwa Watu,,, Kwani Kama Hao Wauaji Hii Inawafaa Sana
 
Kimjini mjini kibaka akikuwahi kwa roba ya mbao, panga shaa, kisu, nondo, bissibissi, sindano yenye HIV, n.k, kabla hajakujeruhi unamtoa hata buku5 hivi seleka linaisha, ukimu wahi unampa Kippondo cha mbwa koko.....,, sasa mwalimu si angeawapoza hao madogo hata kwa buku2 au hata kwa kasim kake ka torch tuu na hayo yote yasingemkuta, ona sasa ubishi wake....
 
Hivi hao watu wa Tarime na Mkoa wa Mara kwa ujumla wamerithi wapi ukatili wa kuuana! Naona kuua kwao ni jambo la kawaida sana.

Nadhani elimu ya namna ya kukomesha hayo mauaji inahitajika sana bila shaka.
 
Tohara ya ukubwani alafu bila ganzi akilli lazima iruke tu. Govi limeshabandua papuchi za kutosha ndo linakumbuka kukata hao waende jela wakaolewe na magovi yao

R.I.P Mwalimu
 
Mungu mkubwa mwaka Jana maeneo ya nyamwaga nilitktana nao vijana wa sampuli hiyo waliniomba pesa nikawapatia buku3 kumbe ilikuwa salama yangu nisingekuwa na hio pesa leo kumbe ingekuwa habari nyingine.
Dahhhh...
Pole sana mkuu, yaani leo ungekuwa tayari umeng'ata shuka kiskhara wallah..
 
Hata barabarani usipofunga vioo kuna mateja yanakuja kuomba pesa, usipotoa walau misimbazi kadhaa jua anang'oa side mirror na anaweza kukuchanja na wembe wenye kutu kali..
 
Mungu mkubwa mwaka Jana maeneo ya nyamwaga nilitktana nao vijana wa sampuli hiyo waliniomba pesa nikawapatia buku3 kumbe ilikuwa salama yangu nisingekuwa na hio pesa leo kumbe ingekuwa habari nyingine.
Hapa umeongopa Mkuu, tohara haifanyiki kila mwaka, ulikutana nao mwaka jana wakiwa wanaenda wapi ? Maana mwaka jana hakukuwa na tohara.
 
Wanakuwa wapumbavu yaani kuua kwao ni kawaida tu.
Sio kweli, nathani kuna tatizo mwaka huu. Haijawahi kutokea katika historia ya tohara, huenda Wazee wanaowandaa vijana kisaikolojia kwa ajili ya tohara na kuingia kwenyu umri wa utu uzima, hawajafanya kazi yao. Aidha, kuhusu huyo Mwalimu, inategemeana aliwaambia nini hao vijana, labda ni mwalimu wao na aliwauliza kwa nini hawajaenda shule siku hiyo. Maana vijana huanza maandalizi ya tohara wakati shule hazijafungwa, hivyo wakati mwingine wakikutana na walimu huwa wanawahoji kwa nini hawaendi shule.
 
Back
Top Bottom