Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

Walimu waboreshewe maslahi kama wabunge.

Nilisikia report ya katibu mkuu wa tume ya Utumishi wa Walimu kwamba asilimia 50 ya Walimu wamefukuzwa kazi kwa utoro baada ya kuishi ktk mazingira magumu.

Mbona hatusikii idadi hiyo kuacha kazi Benki Kuu, TRA, Uhamiaji, Bandari, Jeshi?
Kwahiyo maslahi yakiboreshwa itakuwa sio kazi yenye laana tena?
 
Nimesikitishwa kupata habari kuhusu mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo mkoa wa Pwani kukimbia kazi ya ualimu baada ya kulipwa 34000 kwa mwezi.
Wakubwa wanapotenguliwa ni marupu rupu tu hupungua, lakini mshahara hauguswi, hata kama alikuwa kwenye nafasi aliyo kuwa hana sifa nayo.
 
Nimesikitishwa kupata habari kuhusu mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo mkoa wa Pwani kukimbia kazi ya ualimu baada ya kulipwa 34000 kwa mwezi.

Hii inatokana na adhabu ya kushushwa cheo na kulipwa nusu mshahara na Tume ya Utumishi wa Walimu kwa kosa la utoro kazini.
mwalimu huyo kaamua kutelekeza kazi yake.

Hebu tutajie mshahara wake halisi, kabla ya mikopo na kabla ya kukatwa mshahara...
 
Back
Top Bottom