Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Makongoro Nyerere kadhihilisha hilo leo Bungeni. Anajiamini, anapoints, hanyenyekei kuomba kura, anaonyesha msimamo, anakemea na kutoa angalizo, kama mzaha flani anaweka na jokes kidogo. Maadili yale yale kama enzi za Mwalimu! Anaongea Kingereza kizuri, hana Uchu wa hiyo nafasi, karelax na anasema ukweli.. Nyerere kweli aliandaa watoto wake vyema! R.I.P Mwalimu, Vijana unao!