Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,011
- 71,162
Mwanafunzi ni mwanafunzi tu
Lihishimiwe " ....Hahaaa kesi hakuna hapo" Mtoto kesha mtetea mwalimu duuuhh""... mbona anaonyesha kuwa amekubuhu aisee""... hana hata hofu"" halafu mama yake pia inaonyeha kuwa siku nyingi anaujua mchezo mzima jinsi ulivyo " na huwenda ikawa anapewaga bakshishi na mtoto wake ili asimchongee kwa dingi"" Mama namtoto lao moja wallahi
maticha hatari sana hasa waliosoma muhimbili university of health and SUA huko dodoma
Form six miaka 23 huyo...Kwaio form one ana miaka 17 sasa mpaka afike form 5 huyo si ndo jitu zima kabisa duu?
Wengine mwili yao hudanganya utakuta mtoto ana miaka 17 mwili huooNoma sana aisee...sema madent wa siku hizi nao ni wepesi kusukumiwa nyama...
Ushahidi wa Mazingira upo wa kutosha,tena hiyo ni rape kabisa.Wewe hujaoa,huna mke na uko na mtoto wa kike under 18 mmejifungia chumbani kwaKo,unataka ushaidi gani zaidi?NGOJA TICHA AJIBEBE,HAPO NI MINIMUM 30 YRS IMPRISONMENTBac huyo mzazi kaharibu ushahidi na kesi kaisha shindwa.
1. Alijibeba yeye na mashilawadu kwenda kuvamia mwalimu bila ya kuwa na muongozo kutoka serkal ya mtaa. Yan unaenda msearch mtu kwake bila RB or search warantee or balozi.
2. Mwanafunzi kasema hana mahusiano so kukutwa kwa mwalimu sio kosa kisheria anaweza kuwa alienda kufundishwa au kusalmia.
ELIMU ELIMU ELIMU.
Ni kweli walimu wanawakula wanafunzi wao ila inapokuja kwenye kuwakamata na kuwa na ushahidi wa kutosha ndipo shida ilipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisaKwa kweli haya sio maadili mema hata kidogo...mwalimu ni sawa na mzazi..amepewa dhamana ya kuwasimamia wanafunzi, kuwakanya na kuwafundisha...lakini cha ajabu...mwalimu huyo huyo anakuwa mtu wa kiwaharibu wanafunzi...uchunguzi ufanyike haraka na hatua kali za kisheria zichukuliwe!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaa matumizi ya ugoro ni hatari kwa afyaLihishimiwe " ....
eti mimi nachekesha
Hamna cha kesi wala nini...mtoto akililia wembe unampa...Wengine mwili yao hudanganya utakuta mtoto ana miaka 17 mwili huoo
Ukingia kichwa kichwa utakutana na kesi
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
BalaaWatu wamesikia jela siku hizi ni kugumu lakini wapi. Wanataka huko huko.
Sasa huyu mwali mtarajiwa tutamsaidiaje ?
Tusisahau kumpelekea sabuni na mafuta ya kujipaka huko gestini ya serikali aliko