Kitty Galore
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 345
- 100
Mwalimu mmoja katika shule ya msingi katika kijiji cha Lukukwe huko Lindi, amekutwa asubuhi akiwa amelala kwenye kibao cha shule akiwa uchi wa mnyama. Katika kuhojiwa amesema aliingia ndani kwake vizuri na kufunga mlango, ameshangaa sana asubuhi mlinzi wa shule anamuamsha na yeye kujikuta yupo nje na akiwa uchi wa mnyama. Hii imeleta hofu kubwa kwa walimu wenzake na inaonekana amani shuleni hapo imetoweka.
Wadau hii imekaaje?
Source: TBC1
Wadau hii imekaaje?
Source: TBC1