digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,871
- 14,293
Mwalimu wa Shule ya Sekondari Kiranyi Arusha Veronica Kidemi amesema Mume wake amemkata kiganja chake na kukitenganisha kabisa na mkono kutokana na wivu wa mapenzi.
“Mume wangu amekua akinituhumu mara nyingi kwamba anasikia nina chepuka kwenye mapenzi lakini nilishamwambia anipe ushahidi na sio tu kusema anasikia na sio kila Mtu anapenda ndoa yake kuwa na amani, Yeye anafanya kazi Dar... juzi aliniambia nikachukue kilichochangu nifungashe”
“Juzi Ijumaa niliporudi nyumbani akawa amerudi bila taarifa, akanikimbilia na kuanza kunishambulia niliishiwa mpaka pozi na akatenganisha kiganja changu na mkono... alinikatakata kama anafyeka, alikua hataki hata niende kwa Ndugu yangu”
Source Millard ago
“Mume wangu amekua akinituhumu mara nyingi kwamba anasikia nina chepuka kwenye mapenzi lakini nilishamwambia anipe ushahidi na sio tu kusema anasikia na sio kila Mtu anapenda ndoa yake kuwa na amani, Yeye anafanya kazi Dar... juzi aliniambia nikachukue kilichochangu nifungashe”
“Juzi Ijumaa niliporudi nyumbani akawa amerudi bila taarifa, akanikimbilia na kuanza kunishambulia niliishiwa mpaka pozi na akatenganisha kiganja changu na mkono... alinikatakata kama anafyeka, alikua hataki hata niende kwa Ndugu yangu”
Source Millard ago