Mwalimu ajira mpya, fahamu haya yatakusaidia

6. Usiingie kwenye makundi ofisini wala usipeleke umbea kwa mkuu wako epuka kutumika

Hoja yenye mashiko kwenu walimu wapya.
 
Usiingie na magia makubwa kwamba wewe ni mtaalamu sana kuliko wakongwe uliowakuta.

ONYO ;- ukikuta kuna vitu (tena vingi) wanafanya fyongo usiwakosoe ila tiririka nao hivyo-hivyo.
Nakukumbusha tu ---wengi wao (hasa wakongwe) wamejizindika kwa ndumba na wanafanya kazi kwa upole na taratibu hawahitaji changamoto-mavi za masela V/s masista-duu !
 
Mambo muhimu yatakayokufanya udumu kwenye ajira

1. Kamwe usile miwa ya shule (usitembee na wanafunzi). Miwa ya shule ni mitamu ila nakuasa usijaribu kwa usalama wako.

2. Usihoji kila kitu kwa mkuu wa shule hasa MAPATO na MATUMIZI. Wakuu hawapendi watu wanaohoji.

3. Kopa kwa kiasi. Baada ya mwaka kuanza kazi mtaruhusiwa kukopa benki. Kopa benki epuka taasisi kama FAIDIKA, FANIKIWA,RICHMOND,ATLASMARA na nyinginezo.

4. Kazi ya ualimu haina posho yeyote wala over time hata ukeshe hadi SAA nane usiku unafundisha. Posho pekee anayopata mwalimu ni usimamizi wa mitihani ya NECTA kwa mwaka mara moja.Hivyo tafuta kipato nje ya ajira.

5. Fundisha kwa kiasi usijitese sana maana ukifaulisha sifa ni za mkuu wa shule na sio za kwako ila ukifelisha lawama ni za kwako.

6. Usiingie kwenye makundi ofisini wala usipeleke umbea kwa mkuu wako epuka kutumika

7. Kumbuka kujiendeleza elimu haina mwisho.

8.Mwisho lakini sio kwa umuhimu acha siasa ofisini hasa kama wewe ni mpinzani. Tunasema hakuna ubaguzi kwa nje ila kwa ndani fursa nyingi zitakupita kuna ubaguzi mkubwa sana.

KAZI NJEMA
Mkuuuu kwanini wasikopeee
Si mishahara Yaoo
Waache Wakopee bwanaa aseee
FAIDIKA ,Fanikiwa na Wengine wale wapi wao
Mkuuu tunategemeana mkuuuu.
UNATAKA NMB na CRDB WALE WENYEWE HAPANA MKUU TUTAKULA WOTEE WALLAH
 
Hahaa! Sawa mkuu uamuzi ni wao
Mkuuuu kwanini wasikopeee
Si mishahara Yaoo
Waache Wakopee bwanaa aseee
FAIDIKA ,Fanikiwa na Wengine wale wapi wao
Mkuuu tunategemeana mkuuuu.
UNATAKA NMB na CRDB WALE WENYEWE HAPANA MKUU TUTAKULA WOTEE WALLAH
 
Usiingie na magia makubwa kwamba wewe ni mtaalamu sana kuliko wakongwe uliowakuta.

ONYO ;- ukikuta kuna vitu (tena vingi) wanafanya fyongo usiwakosoe ila tiririka nao hivyo-hivyo.
Nakukumbusha tu ---wengi wao (hasa wakongwe) wamejizindika kwa ndumba na wanafanya kazi kwa upole na taratibu hawahitaji changamoto-mavi za masela V/s masista-duu !
Hahaha! Unakutana na mkongwe ana miaka 15 kituoni halafu wewe unafika leo unajifanya mjuaji
 
Kuna jamaa yangu mmoja alipangiwa Kigoma tulizika kabla hata ya mwaka kazini kwa issue hizi hizi
Usiingie na magia makubwa kwamba wewe ni mtaalamu sana kuliko wakongwe uliowakuta.

ONYO ;- ukikuta kuna vitu (tena vingi) wanafanya fyongo usiwakosoe ila tiririka nao hivyo-hivyo.
Nakukumbusha tu ---wengi wao (hasa wakongwe) wamejizindika kwa ndumba na wanafanya kazi kwa upole na taratibu hawahitaji changamoto-mavi za masela V/s masista-duu !
 
Back
Top Bottom