Mwalimu ajira mpya, fahamu haya yatakusaidia

Davan

JF-Expert Member
Jun 15, 2020
1,126
1,404
Mambo muhimu yatakayokufanya udumu kwenye ajira

1. Kamwe usile miwa ya shule (usitembee na wanafunzi). Miwa ya shule ni mitamu ila nakuasa usijaribu kwa usalama wako.

2. Usihoji kila kitu kwa mkuu wa shule hasa MAPATO na MATUMIZI. Wakuu hawapendi watu wanaohoji.

3. Kopa kwa kiasi. Baada ya mwaka kuanza kazi mtaruhusiwa kukopa benki. Kopa benki epuka taasisi kama FAIDIKA, FANIKIWA,RICHMOND,ATLASMARA na nyinginezo.

4. Kazi ya ualimu haina posho yeyote wala over time hata ukeshe hadi SAA nane usiku unafundisha. Posho pekee anayopata mwalimu ni usimamizi wa mitihani ya NECTA kwa mwaka mara moja.Hivyo tafuta kipato nje ya ajira.

5. Fundisha kwa kiasi usijitese sana maana ukifaulisha sifa ni za mkuu wa shule na sio za kwako ila ukifelisha lawama ni za kwako.

6. Usiingie kwenye makundi ofisini wala usipeleke umbea kwa mkuu wako epuka kutumika

7. Kumbuka kujiendeleza elimu haina mwisho.

8.Mwisho lakini sio kwa umuhimu acha siasa ofisini hasa kama wewe ni mpinzani. Tunasema hakuna ubaguzi kwa nje ila kwa ndani fursa nyingi zitakupita kuna ubaguzi mkubwa sana.

KAZI NJEMA
 
Mambo muhimu yatakayokufanya udumu kwenye ajira

1. Kamwe usile miwa ya shule (usitembee na wanafunzi). Miwa ya shule ni mitamu ila nakuasa usijaribu kwa usalama wako.

2. Usihoji kila kitu kwa mkuu wa shule hasa MAPATO na MATUMIZI. Wakuu hawapendi watu wanaohoji.

3. Kopa kwa kiasi. Baada ya mwaka kuanza kazi mtaruhusiwa kukopa benki. Kopa benki epuka taasisi kama FAIDIKA, FANIKIWA,RICHMOND,ATLASMARA na nyinginezo.

4. Kazi ya ualimu haina posho yeyote wala over time hata ukeshe hadi SAA nane usiku unafundisha. Posho pekee anayopata mwalimu ni usimamizi wa mitihani ya NECTA kwa mwaka mara moja.Hivyo tafuta kipato nje ya ajira.

5. Fundisha kwa kiasi usijitese sana maana ukifaulisha sifa ni za mkuu wa shule na sio za kwako ila ukifelisha lawama ni za kwako.

6. Usiingie kwenye makundi ofisini wala usipeleke umbea kwa mkuu wako epuka kutumika

7. Kumbuka kujiendeleza elimu haina mwisho.

8.Mwisho lakini sio kwa umuhimu acha siasa ofisini hasa kama wewe ni mpinzani. Tunasema hakuna ubaguzi kwa nje ila kwa ndani fursa nyingi zitakupita kuna ubaguzi mkubwa sana.

KAZI NJEMA
Namba 5 sikubaliani na wewe. Kufundisha kwa kujitoa sana ni umahiri wa mwalimu. Lengo ni kuwasaidia watoto wafaulu . Hili hata Kama hakuna hamasa yoyote haina shida kwa sababu mwalimu anayejitoa sana kwa wanafunzi hupata dhawabu nyingi sana ambazo ni zaidi ya pesa.
 
Mambo muhimu yatakayokufanya udumu kwenye ajira

1. Kamwe usile miwa ya shule (usitembee na wanafunzi). Miwa ya shule ni mitamu ila nakuasa usijaribu kwa usalama wako.

2. Usihoji kila kitu kwa mkuu wa shule hasa MAPATO na MATUMIZI. Wakuu hawapendi watu wanaohoji.

3. Kopa kwa kiasi. Baada ya mwaka kuanza kazi mtaruhusiwa kukopa benki. Kopa benki epuka taasisi kama FAIDIKA, FANIKIWA,RICHMOND,ATLASMARA na nyinginezo.

4. Kazi ya ualimu haina posho yeyote wala over time hata ukeshe hadi SAA nane usiku unafundisha. Posho pekee anayopata mwalimu ni usimamizi wa mitihani ya NECTA kwa mwaka mara moja.Hivyo tafuta kipato nje ya ajira.

5. Fundisha kwa kiasi usijitese sana maana ukifaulisha sifa ni za mkuu wa shule na sio za kwako ila ukifelisha lawama ni za kwako.

6. Usiingie kwenye makundi ofisini wala usipeleke umbea kwa mkuu wako epuka kutumika

7. Kumbuka kujiendeleza elimu haina mwisho.

8.Mwisho lakini sio kwa umuhimu acha siasa ofisini hasa kama wewe ni mpinzani. Tunasema hakuna ubaguzi kwa nje ila kwa ndani fursa nyingi zitakupita kuna ubaguzi mkubwa sana.

KAZI NJEMA
Kuhusu # 1.
ngoja nisubiri wadau wa kula "miwa ya shule" watasemaje kuhusu hiyo NAMBA 1 hapo!!
Maana mie nasikiaga tu kuwa "miwa ya shule ni mitamu sana"
 
Hapo no.5 si ndio maana ya ualimu wenyewe.

Yaani mwalimu inabidi afundishe kwa ufanisi, ili wanafunzi wapate kufaidika.

Kwani si analipwa mshahara hizo sifa yeye zitamsaidia nini?
 
Namba 5 sikubaliani na wewe. Kufundisha kwa kujitoa sana ni umahiri wa mwalimu. Lengo ni kuwasaidia watoto wafaulu . Hili hata Kama hakuna hamasa yoyote haina shida kwa sababu mwalimu anayejitoa sana kwa wanafunzi hupata dhawabu nyingi sana ambazo ni zaidi ya pesa.
Nakubaliana na wewe 100%
 
Fundisha kwa ufanisi ndani ya muda wa kazi tu.
Hapo no.5 si ndio maana ya ualimu wenyewe.

Yaani mwalimu inabidi afundishe kwa ufanisi, ili wanafunzi wapate kufaidika.

Kwani si analipwa mshahara hizo sifa yeye zitamsaidia nini?
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom