nahitaji mwalim wa kunifundisha lugha ya Kifaransa muda wa jion kwa aliyeko Dar es Salaam. awe na programme ya mi kuelewa haraka, kusoma/kuandika na kuongea. Najua Kiingereza vizuri cha kusomea.
Kwa kukushauri tu, nenda pale Alliance Française. Utaweza kujifunza na kuelewa kwa haraka kama uko serious. Mie sijasoma hapo lakini kuna jamaa yangu ambae alisoma pale na kwa sasa anaongea vizuri. Ila kama ndo unaanza kabisa, ndani ya miezi sita utakuwa unaongea vizuri ila kama unafanya mazoezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.