Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,333
Kwako:msomaji
kutoka:kwangu
yah:mwaliko wa X-MASS and NEW YEAR
husika na kichwa cha habari hapo juu.mimi ni kijana mkubwa ninayejiheshimu na mwenye nidhamu kuu.
Dhumuni la barua hii ni kuomba kupata mwaliko toka kwako wakati wa sikukuu,mimi ukinialika sitamwagamwaga UBWABWA chini kama wengine,nitakuja na hotpot kwa ajili ya kubeba chakula kitakachobaki.na kwa heshima niliyonayo sitakuja na mtu mwingine ili nisikuharibie bajeti.
Asante.
Wako mtiifu (mualikwa)
kutoka:kwangu
yah:mwaliko wa X-MASS and NEW YEAR
husika na kichwa cha habari hapo juu.mimi ni kijana mkubwa ninayejiheshimu na mwenye nidhamu kuu.
Dhumuni la barua hii ni kuomba kupata mwaliko toka kwako wakati wa sikukuu,mimi ukinialika sitamwagamwaga UBWABWA chini kama wengine,nitakuja na hotpot kwa ajili ya kubeba chakula kitakachobaki.na kwa heshima niliyonayo sitakuja na mtu mwingine ili nisikuharibie bajeti.
Asante.
Wako mtiifu (mualikwa)