Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Familia ya Bwana na Bibi Tutor B wa jijini Mwanza wanayo furaha kuungana nawe Mwana JF katika sherehe ya mtoto wao mpendwa Akanganyila B kupata kipaimara.
Sherehe hizo zitafanyika siku ya Jumapili tarehe 16/12/2012 katika kanisa la KKT Igoma na baadaye kwenye tafrija fupi itakayofanyika ndani ya viwanja vya VATCAN VILLAGE Igoma Mwanza.
Wote mnakaribishwa. (Serrious)
Kwa maelekezo zaidi waweza kuni-PM ili tupeane maelekezo ya kina.
Sherehe hizo zitafanyika siku ya Jumapili tarehe 16/12/2012 katika kanisa la KKT Igoma na baadaye kwenye tafrija fupi itakayofanyika ndani ya viwanja vya VATCAN VILLAGE Igoma Mwanza.
Wote mnakaribishwa. (Serrious)
Kwa maelekezo zaidi waweza kuni-PM ili tupeane maelekezo ya kina.