Heshima mbele !
Naomba kuchukua fursa hii kuomba kuungana nanyi wanajamii ili kuelemishana na kuchangia hoja mbalimbali zinazolenga jamii inayonizunguka na Tanzania kwa ujumla.
Natanguliza shukhurani zangu za dhati kwenu wote wenye nia thabiti na ushupavu wa ku 'dare to talk openly'.
Regards
Naomba kuchukua fursa hii kuomba kuungana nanyi wanajamii ili kuelemishana na kuchangia hoja mbalimbali zinazolenga jamii inayonizunguka na Tanzania kwa ujumla.
Natanguliza shukhurani zangu za dhati kwenu wote wenye nia thabiti na ushupavu wa ku 'dare to talk openly'.
Regards