Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,544
- 19,402
Mwanakijiji,
Ingawa ninaelekea kuwa nimekosa mengi kuhusiana na sakata hili, nimefurahishwa sana na hatua hii uliyofikia ya kuwakaba makoo hao mafisadi. Mungu akuongezee nguvu za kuendelea kuwasaka na kuwakaba makoo wote waliokula pesa zetu hadi wazitapike.
Ingawa ninaelekea kuwa nimekosa mengi kuhusiana na sakata hili, nimefurahishwa sana na hatua hii uliyofikia ya kuwakaba makoo hao mafisadi. Mungu akuongezee nguvu za kuendelea kuwasaka na kuwakaba makoo wote waliokula pesa zetu hadi wazitapike.