Mwakyembe unataka kutuaminisha kuwa maamuzi kesi ya richmond serikali ili mbeba Lowasa!!!

baba anjela

JF-Expert Member
Mar 17, 2013
430
310
Kwa kauli ya mweshimiwa mwakyembe...aliyoitoa bungeni kuwaomba chadema kurudisha swala la richmond bungeni..na yeye yuko tayali kuweka rehani uwaziri ili alishugulikie kikamilifu... na Lowassa hasafishiki...

hii kauli inadhalilisha serikali yake sana,inatuonyesha jinsi gani hii serikali ilivyoshikwa na watu wachache....Yaani ubadhilifu unafanyika na ushaidi wanao lakini atua staiki zinapindishwa...

ubadhilifu wa billions of money unatendeka hakuna action inachukuliwa...ila ndugu zetu leo wako jela kwa wizi wa kuku..

Mwakyembe lazima utambue pesa za richmond ni za walipa kodi ambao ni watanzani...wengine hata mlo wa siku wanakosa...hivyo unajitokeza adharani na kuaminisha kuwa Serikali ilishindwa kumwadabisha Lowassa katka swala la rich mond...inatuuma sana sisi walipa kodi..

Kwahiyo unatuakikisha ushaidi upo...ila umekaliwa...na kwanini umekaliwa...

j
 
Kwaivo lowasa ana ishu ya kujibu ila ccm walimnyamazia tu au? Confusion... Mm naona bora suala lirudi bungeni lichambuliwe upya, kwakuwa bado kodi zetu zimaliwa na mkataba ule
 
Ana hata ushaid kwa jinsi selikar ya ccm inavyomwogopa lows wangeshampeleka mahakamani hapa pumba tu.
 
Ana hata ushaid kwa jinsi selikar ya ccm inavyomwogopa lows wangeshampeleka mahakamani hapa pumba tu.
Mamvi ni mwizi sugu, mtapasuka bure kweli pesa mbaya mshalambishwa asali mmejitoa akili kabisa
 
I think Mwakyembe belong behind bar,yaani kwa serikali makini na inayojali utawala bora,utawala wa sheria, Mwakyembe anatakiwa ashitakiwe kwa kuficha uhalifu/taarifa za uhujumu uchumi kwa sababu tu za kulinda watu.
 
I think Mwakyembe belong behind bar,yaani kwa serikali makini na inayojali utawala bora,utawala wa sheria, Mwakyembe anatakiwa ashitakiwe kwa kuficha uhalifu/taarifa za uhujumu uchumi kwa sababu tu za kulinda watu.
Kosa ni Mwakyembe au bunge lililoshindwa kumwajibisha Lowassa baada ya kukimbilia kuachia uwaziri mkuu? Maana Mwakyembe alitoa ripoti kama alivyoagizwa na Bunge, lakini bunge halikutoa maamuzi au kuishauri serikali hatua sahihi za kuwachukulia wahusika.
 
Tuwen thinkers, rejea report ya Mwakyembe khs Richmond aliweka mambo meng waz sn. Bunge na serikal ya wakat huo ndo walishndwa kuchukua maamz stahk. Mwakyembe na jopo lake walifanya kaz zao vzur sn. Kinacho nisktsha sn kwenye siasa za Tz n kua Cdm wanaweza mponda mtu with evidence akiwa ccm lakn pnd akjiunga kwao n msaf sn. We Tanzanians are daily fooled we dirt cdm's politics.
 
Mamangi kazi mnayo mnamtetea lawassa mpaka kiama
Tunataka apelekwe mahsksmani alaaa,nani anamtetea sasa?

Waziri juha mwenyewe kalikoroga kusema alikuwa na ukweli,ila aliuficha kuokoa serikali.

Hapa tushanusa harufu ya uzembe kazini na kutiana hasara.Atajuta.

Ile sumu tutaikoroga huko kichwani had ukichaa uamke.
 
Tunataka apelekwe mahsksmani alaaa,nani anamtetea sasa?

Waziri **** mwenyewe kalikoroga kusema alikuwa na ukweli,ila aliuficha kuokoa serikali.

Hapa tushanusa harufu ya uzembe kazini na kutiana hasara.Atajuta.

Ile sumu tutaikoroga huko kichwani had ukichaa uamke.
Kanywe mbege ukalale mangi
 
Jamani mtu msafi ni yule tu aliyeshtuka na kuhama ccm. Lakini ambaye bado yuko ccm hawezi kuwa msafi. Kauli ya huyo dakitari na mkuu wao jana ni uthibitisho tosha kwamba something is wrong somewhere. Roho Mtakatifu alimuongoza vyema yule bwana kutwambia "aliyetangulia mbele ya haki". I doubt if he had planned to make that statement except that it was what's called a slip of a tongue which was only led by the holy spirit. Thanx Jesus for your power at last we now know what has happened to our beloved boy
 
Kosa ni Mwakyembe au bunge lililoshindwa kumwajibisha Lowassa baada ya kukimbilia kuachia uwaziri mkuu? Maana Mwakyembe alitoa ripoti kama alivyoagizwa na Bunge, lakini bunge halikutoa maamuzi au kuishauri serikali hatua sahihi za kuwachukulia wahusika.
Mbona alificha mengine?
 
Tuwen thinkers, rejea report ya Mwakyembe khs Richmond aliweka mambo meng waz sn. Bunge na serikal ya wakat huo ndo walishndwa kuchukua maamz stahk. Mwakyembe na jopo lake walifanya kaz zao vzur sn. Kinacho nisktsha sn kwenye siasa za Tz n kua Cdm wanaweza mponda mtu with evidence akiwa ccm lakn pnd akjiunga kwao n msaf sn. We Tanzanians are daily fooled we dirt cdm's politics.
Hiyo serikali ya wakati huo ilikuwa ya nani na ya leo ni ya chama gani? Are these guys really serious? Wanamdanganya nani? Hatudanganyiki hata kama tutatekwa.
 
Tumeona south africa ..mahakama ilivyomwadabisha raisi wao Jaco Zuma kulipa pesa zote alizozitumia katika ukarabati wa majengo yake.

Swali kwetu...hivi mihimili yote ilishindwa kumwadabisha lowassa... Naona hata issue ya Escrow kimya.... Nilitegemea hii awamu ya tano...kulishugulika na wote waliotuumiwa katika escrow...

Nashangaa kimyaaa.. Hiyo mahakama ya mafisadi inalenga wakina nani???
 
1:Ili mbeba = ilimbeba,

2:atua = Hatua,

3:Ushaidi = ushahidi,

4:adharani =Hadharani

5:Utatuakikishia = utatuhakikishia

6: ubadhilifu =ubadhirifu

7:. mweshimiwa = mheshimiwa

8:Alishugulikie = alishughulikie

9: tayali=tayari

10: inatuonyesha =inatuonesha

Makosa mengi ya herufi hadi uvivu, siyo lazima kuandika habari, unaweza kubaki msomaji ili JF itabaki na hadhi yake!!
 
Back
Top Bottom