Mwakyembe tusaidie

sigitoro

Member
Oct 13, 2012
68
6
Tunaomba mapato ya bajaj yapunguzwe au yatolewe kwa watu wanaomiliki bajaj moja au chini.ya tatu,gharama za uendeshaji ni kubwa,ukiangalia kila baada ya wiki mbili tunaenda service na inagharimu si chini ya elfu 30 tunakuomba waziri tuondolee hii kodi tunateseka sisi watu wa chini
 
Tunaomba mapato ya bajaj yapunguzwe au yatolewe kwa watu wanaomiliki bajaj moja au chini.ya tatu,gharama za uendeshaji ni kubwa,ukiangalia kila baada ya wiki mbili tunaenda service na inagharimu si chini ya elfu 30 tunakuomba waziri tuondolee hii kodi tunateseka sisi watu wa chini
 
Back
Top Bottom