simon mato
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 926
- 484
Ndugu wanajamvi;
Ni wakati umefika ukweli utuweke huru kabsaa. Mahakama ya mafisadi ilikuwepo kwenye agenda na kuhubiriwa kila kona ya nchi kwenye ilani ya CCM na utekelezwaji wake utakavokua.
Sitaki niongee mengi sanaaa lakini waziri wa sheria hawezi kutupepesa macho tena waziwazi bila aibu kuwa hiyoo mahakama imekosa kesi za kusikiliza huu ni uwendawazimu ambao ata kichaa uwezi kumdanganya hivi!
Maswali yangu kwa MWAKYEMBE:
1. je ni ufisadi upi anauzungumzia ni baada ya tarehe 25 october 2015 au kabla ya hapo! Tunamtaka hatoke nje hadharani atupe majibu!
2. Je kama ni baada ya october 2015 mbona kuna kesi zimetokea za kuhujumu uchumi kama Bossi wa NIDA, TPA , TRA yule aliyekuwa anachakachua mamilioni kwa dakika! Au hawa si watanzania? au mafisadi wana sura!! Atoke nje hatupe majibu hadharani!!
3:Kama ufisadi anaouzungumzia ni kabla na baada ya uchaguzi, Mbona MWAKYEMBE umesikika kwenye viuga tofauti hadi kwenye media ukihubiri ufisadi wa LOWASHA nashangaa umeufyata kana kwamba hujawahi kusikia ata jina la EL. Janja janja hatutaki toka nje utupe majibu hadharani!!
4:Nikimnukuu aliyekuwa msemaji wa ccm kabla hajateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa njombe Mhe.OLESENDEKA amesikika akisema ata CHADEMA wahangaike vipi! Aliyekuwa mgombea wao kupitia UKAWA ni mteja mzuri kwenye mahakama ya mafisadi kwahyo ajiandae psychologically hili limetamkwa kwenye vuguvugu la UKUTA kama mtakumbuka!!! Tunamtaka Olesendeka hatoke nje hadharani atupe majibu!!!
5:Kama mnachukulia kuwa ufisadi ulianza baada ya 25 october 2015 na mahakama itaanza kazi kwa watuhumiwa wa kuanzia baada ya hapo? Naomba majibu ya kuridhisha mnaonaje ata wanafunzi waliotumia mikopo ya Elimu ya juu wasamehewe mara moja maana sisi wote ni watanzania tena bora ata hawa waliokuwa wanafanya kazi serikalini na kupiga dili za tumbo hao wanafunzi kuna wengine hadi mda huu hawajaariwa wanasota mtaani!! Naomba majibu ya kutosha MWAKYEMBE!!!
yangu kwa leo ni hayo tuuh nisipopewa majibu ya kutosha ndani ya masaa 48 nitaanzisha operation ya "SINA IMANI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO" kwa sababu mimi nilimpigia mgombea wa CCM kura kutokana na alivyokuwa anajipambanua kupambana na ufisadi na alivopiga hatua hadi kuanzisha mahakama ya mafisadi kwa hela za kodi za wanyonge iweje ikose kazi tena wakati watuhumiwa wapo mtaani wanadunda? Katika hili ukweli utaniweka huru na mwenye akili kamili atajua nimezungumzia nini!!!
Ni wakati umefika kuacha siasa nyepesi kwenye masuala magumu katika taifa hili tuwe na utu na uzalendo katika taifa letu.
Ni wako kijana mtiifu, mzalendo na mwanaharakati wa kweli katika taifa hili.
Ni wakati umefika ukweli utuweke huru kabsaa. Mahakama ya mafisadi ilikuwepo kwenye agenda na kuhubiriwa kila kona ya nchi kwenye ilani ya CCM na utekelezwaji wake utakavokua.
Sitaki niongee mengi sanaaa lakini waziri wa sheria hawezi kutupepesa macho tena waziwazi bila aibu kuwa hiyoo mahakama imekosa kesi za kusikiliza huu ni uwendawazimu ambao ata kichaa uwezi kumdanganya hivi!
Maswali yangu kwa MWAKYEMBE:
1. je ni ufisadi upi anauzungumzia ni baada ya tarehe 25 october 2015 au kabla ya hapo! Tunamtaka hatoke nje hadharani atupe majibu!
2. Je kama ni baada ya october 2015 mbona kuna kesi zimetokea za kuhujumu uchumi kama Bossi wa NIDA, TPA , TRA yule aliyekuwa anachakachua mamilioni kwa dakika! Au hawa si watanzania? au mafisadi wana sura!! Atoke nje hatupe majibu hadharani!!
3:Kama ufisadi anaouzungumzia ni kabla na baada ya uchaguzi, Mbona MWAKYEMBE umesikika kwenye viuga tofauti hadi kwenye media ukihubiri ufisadi wa LOWASHA nashangaa umeufyata kana kwamba hujawahi kusikia ata jina la EL. Janja janja hatutaki toka nje utupe majibu hadharani!!
4:Nikimnukuu aliyekuwa msemaji wa ccm kabla hajateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa njombe Mhe.OLESENDEKA amesikika akisema ata CHADEMA wahangaike vipi! Aliyekuwa mgombea wao kupitia UKAWA ni mteja mzuri kwenye mahakama ya mafisadi kwahyo ajiandae psychologically hili limetamkwa kwenye vuguvugu la UKUTA kama mtakumbuka!!! Tunamtaka Olesendeka hatoke nje hadharani atupe majibu!!!
5:Kama mnachukulia kuwa ufisadi ulianza baada ya 25 october 2015 na mahakama itaanza kazi kwa watuhumiwa wa kuanzia baada ya hapo? Naomba majibu ya kuridhisha mnaonaje ata wanafunzi waliotumia mikopo ya Elimu ya juu wasamehewe mara moja maana sisi wote ni watanzania tena bora ata hawa waliokuwa wanafanya kazi serikalini na kupiga dili za tumbo hao wanafunzi kuna wengine hadi mda huu hawajaariwa wanasota mtaani!! Naomba majibu ya kutosha MWAKYEMBE!!!
yangu kwa leo ni hayo tuuh nisipopewa majibu ya kutosha ndani ya masaa 48 nitaanzisha operation ya "SINA IMANI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO" kwa sababu mimi nilimpigia mgombea wa CCM kura kutokana na alivyokuwa anajipambanua kupambana na ufisadi na alivopiga hatua hadi kuanzisha mahakama ya mafisadi kwa hela za kodi za wanyonge iweje ikose kazi tena wakati watuhumiwa wapo mtaani wanadunda? Katika hili ukweli utaniweka huru na mwenye akili kamili atajua nimezungumzia nini!!!
Ni wakati umefika kuacha siasa nyepesi kwenye masuala magumu katika taifa hili tuwe na utu na uzalendo katika taifa letu.
Ni wako kijana mtiifu, mzalendo na mwanaharakati wa kweli katika taifa hili.