Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Kama mwakyembe aliweza kuvaa magwanda na kusimamia ukweli na haki kwenye ile tume hawezi kushindwa hili.
Sitta naye Alijipatia sifa kem kem kwa bunge lake kwa msemo wa speed and standard.
Sasa ninawawahsuri hawa tunaowaita wapiganaji na watu wao w akribu.
Kwa kufanya hivi wataonyesha wao kuwa wana tofauti na "wenzao" wengine. Na wengine wataona aibu na kuanza kuiga..
Hapa nimemuongelea sitta na mwakyembe lakini na majina tunimeyatumia kufikisha ujumbe kwa baraza lote la mawaziri.
Nashangaa hata mtu kama Prof Tibaijuka naye anasubiri kumabiwa kuwa sasa mawaziri wasitumie VX wakiwa dar. Kiongozi kama prof tibaijuka mwakeyembe watanzania tulitegemea wawe hatua moja mbele na kumshtua Rais JK.
from masaki to posta why VX?
Hivi maamuzi ya gari gani waziri atumie si ni maamuzi ya waziri.Au ni ni standard UWT na ikulu. kuwa waziri ni lazima atembelee VX hata anapokuwa Dar?
Sitta naye Alijipatia sifa kem kem kwa bunge lake kwa msemo wa speed and standard.
Sasa ninawawahsuri hawa tunaowaita wapiganaji na watu wao w akribu.
- Waagize/ waamrishe kuwa watafutiwe Vitara au Mark II za kutumia kiofisi na si GX an VX kama ilivyo sasa
Kwa kufanya hivi wataonyesha wao kuwa wana tofauti na "wenzao" wengine. Na wengine wataona aibu na kuanza kuiga..
Hapa nimemuongelea sitta na mwakyembe lakini na majina tunimeyatumia kufikisha ujumbe kwa baraza lote la mawaziri.
Nashangaa hata mtu kama Prof Tibaijuka naye anasubiri kumabiwa kuwa sasa mawaziri wasitumie VX wakiwa dar. Kiongozi kama prof tibaijuka mwakeyembe watanzania tulitegemea wawe hatua moja mbele na kumshtua Rais JK.
from masaki to posta why VX?
Hivi maamuzi ya gari gani waziri atumie si ni maamuzi ya waziri.Au ni ni standard UWT na ikulu. kuwa waziri ni lazima atembelee VX hata anapokuwa Dar?