GIB
JF-Expert Member
- Mar 2, 2012
- 336
- 92
Wakati wa kuwakilisha Makisio ya bajeti yake, Waziri Mwakyembe amesema wanatarajia kuanzisha chuo cha wahudumu wa ndege. Ila chuo hicho kitatoa upendeleo kwa warembo hasa wale walioshiriki u-miss.
Sasa kwa wale wenye sura za kutisha hata mtoto akikuona analia sijui watasaidiwaje kupata nafasi hizo? Au watumie mikorogo?
Nawasilisha
GIB
Sasa kwa wale wenye sura za kutisha hata mtoto akikuona analia sijui watasaidiwaje kupata nafasi hizo? Au watumie mikorogo?
Nawasilisha
GIB