Vp bashiteDuh..serikali ya Ngosha ni ya mwendokasi aiseee......
Message sent? and delivered....kwa wale wote mnaodhani Magufuli ana ubia na mtu kwenye Urais wake.......Please be warned!
Mlimchagua wenyewe kwamba mnataka dictator..sasa maji mmeyavulia......what else?
hii inaitwa political demotionHuyu bwana akuwahi kusikika hapo nyuma isipokuwa kwenye tukioa la Richmond ambapo alionekana kuwa ni shujaa sana. Mimi nakumbuka nilipenda sana kumfahamu huyu mtu ni nani kwa kipindi hicho akiwa kwenye kilele kisiasa.
Sasa amekuwa kama mpira wa makaratasi anapigwa huku na kule toka wizara moja kwenda nyingine na kila aendako anafanya vituko. Ni nani alimlaani Mwakyembe? Mwakyembe alijilaani yeye mwenyewe alipokubali kutumika na wanasiasa mbali mbali wakiwepo akina sitta, kikwete na wengine waliofuatia.
Baada ya hapo alichuja kwa haraka sana na mpaka sasa kutolewa kwenye uwaziri wa katiba na sheria kupelekwa kwenye uwaziri wa michezo, sanaa na habari ni mwendelezo wa yeye kuendelea kushindwa na kupoteza kabisa sifa azlizokuwa nazo miaka ile ya 2008-2009.
Kama ningekuwa yeye ningesema siasa basi. Ningepumzika kwa heshima. Najua anakoelekea ni kuja kupewa ukuu wa wilaya tu huko mbeleni. Najiuliza mwakyembe Mwakyembe umepatwa na nini?
Amezeeka hana jipya tena hapa dunianiEti daktari wa sheria unakuwa Waziri wa habari, Sana'a na michezo? Hainingii akilini ila akufukuzae hakuambii toka.
Na lile povu lote alilomwaga tarehe 24.10.2015 star TV kuhusu Lowassa akidhani atapewa uwaziri mkuu ndio anaishia huku?
Mshukuru sana Mungu wako kwa kukutenganisha nae.Mimi ni wa kijiji kimoja,nimefanikiwa kukihama kijiji,kwa sasa nipo kwenye process za kubadili kabila.Huyu ameifanya wilaya ya Kyela ionekane ya hovyo kuliko wilaya zote Tanzania. Likusekaseka itolo nghati ikonyofuHuyu mzee nafurahi sitoki tena naye tena mkoa mmoja maana mie kwetu ni kumekuwa mkoa wa songwe ye amebaki mkoa wa mbeya ningejisikia aibu sana maana ameitupa taaluma yake na ule weledi wake alokuwa nao huku nyuma na amegeuka kuwa mchumia tumbo .prof mwandosya embu ongea na huyu ndugu yako umuamshe
HahaaaaaKuanzia kesho Mwakyembe ofisini kwake atakuwa anawapokea wakina Giggy Money na Harmorapa ili wajadili sanaa ya Bongo. Hatariii
bora arudi Chuo akafundishe.Huyu bwana akuwahi kusikika hapo nyuma isipokuwa kwenye tukioa la Richmond ambapo alionekana kuwa ni shujaa sana. Mimi nakumbuka nilipenda sana kumfahamu huyu mtu ni nani kwa kipindi hicho akiwa kwenye kilele kisiasa.
Sasa amekuwa kama mpira wa makaratasi anapigwa huku na kule toka wizara moja kwenda nyingine na kila aendako anafanya vituko. Ni nani alimlaani Mwakyembe? Mwakyembe alijilaani yeye mwenyewe alipokubali kutumika na wanasiasa mbali mbali wakiwepo akina sitta, kikwete na wengine waliofuatia.
Baada ya hapo alichuja kwa haraka sana na mpaka sasa kutolewa kwenye uwaziri wa katiba na sheria kupelekwa kwenye uwaziri wa michezo, sanaa na habari ni mwendelezo wa yeye kuendelea kushindwa na kupoteza kabisa sifa azlizokuwa nazo miaka ile ya 2008-2009.
Kama ningekuwa yeye ningesema siasa basi. Ningepumzika kwa heshima. Najua anakoelekea ni kuja kupewa ukuu wa wilaya tu huko mbeleni. Najiuliza mwakyembe Mwakyembe umepatwa na nini?
Huyu bwana akuwahi kusikika hapo nyuma isipokuwa kwenye tukioa la Richmond ambapo alionekana kuwa ni shujaa sana. Mimi nakumbuka nilipenda sana kumfahamu huyu mtu ni nani kwa kipindi hicho akiwa kwenye kilele kisiasa.
Sasa amekuwa kama mpira wa makaratasi anapigwa huku na kule toka wizara moja kwenda nyingine na kila aendako anafanya vituko. Ni nani alimlaani Mwakyembe? Mwakyembe alijilaani yeye mwenyewe alipokubali kutumika na wanasiasa mbali mbali wakiwepo akina sitta, kikwete na wengine waliofuatia.
Baada ya hapo alichuja kwa haraka sana na mpaka sasa kutolewa kwenye uwaziri wa katiba na sheria kupelekwa kwenye uwaziri wa michezo, sanaa na habari ni mwendelezo wa yeye kuendelea kushindwa na kupoteza kabisa sifa azlizokuwa nazo miaka ile ya 2008-2009.
Kama ningekuwa yeye ningesema siasa basi. Ningepumzika kwa heshima. Najua anakoelekea ni kuja kupewa ukuu wa wilaya tu huko mbeleni. Najiuliza mwakyembe Mwakyembe umepatwa na nini?